Hivi kwa nini wanawake hamuwezi jambo hili?

Hivi kwa nini wanawake hamuwezi jambo hili?

Si kitu rahisi hata hawa wanaojidai wanaweza huenda hawajawahi ata kumtongoza mwanaume kwa maneno!mwanamke hutongoza kwa ishara tena kwenye hili wanatongoza sana tu hao wengi wenye uwezo wa kutongoza kwa maneno mara nyingi hua ni vicheche au waliokubuhu!

lakini wanasema eti utandawazi!
 
mimi nilishawahi tongozwa na mwanamke bana,si nikawa namtolea nje lakini yeye akawa hajali wala nini aliniganda kama ruba,nikasema isiwe kesi ngoja ni mlambe ,weee nika mgegeda wee asikwambie mtu nilimfanyia fujo wakati wa kumgegeda ili asirudie tena yaani nilitaka kumkomesha weeee kumbe zile fujo ndio nilikuwa namfikisha na kumkuna vizuri aisee tokea hapo ikawa kesi marambili kila nikipiga kona yuko nyuma yangu anataka nimpe mambo wee.

Duh! Inaonekana we ni mtaalamu saaana.
 
Soma alama za nyakati kijana, Angalieni zaidi ishara na matendo. Kiulainiiiiiii.. Kama ugali na mlenda.
 
nakumbuka kuna rafiki yangu wa "ke" ilikuwa kila nikikutana nae macho yake ananiangalia kwa mtindo wa "juu chini juu chini" mpaka naonaga aibu halafu stori zake ni hizi:
"uliwahi kuwa na msichana! mwanamke gan huwa anakuvutia! unapenda kuwa na mtoto! n.k"

hapo sasa unajiongeza kidogo binti anakuwa wako!
 
Hawawezi kunena lkn wanatongoza kwa ishara mfano. kutingisha mauno mbele z wa'ume,wanavaa kihasarahasara( uchi uchi )nguo za kubana,fupi sana kuonesha maungi yao,siku hizi huwa wanaweka styli ya sambusa au ramani ya papuchi,manukato makali,ukitia neno unabeba zigo hilo
 
Sijui ni kwasababu ya mila na desturi zetu, wanawake wameshindwa na hawana ujasiri wa kuelezea hisia za wanaume wawapendao(kutongoza), na ukikuta wanafanya hivyo ni wachache sana. tunaomba mtujibu ni kwann?
Mkuu labda wewe huna ngekewa mbona tunatongozwa sana na hawa mabinti wa kidijitali..wewe tafuta pesa uone.
 
Hawawezi kunena lkn wanatongoza kwa ishara mfano. kutingisha mauno mbele z wa'ume,wanavaa kihasarahasara( uchi uchi )nguo za kubana,fupi sana kuonesha maungi yao,siku hizi huwa wanaweka styli ya sambusa au ramani ya papuchi,manukato makali,ukitia neno unabeba zigo hilo

Style ya sambusa? Au ramani ya papuchi? Ngaumaa!

Sijaelewa kitu.
 
Ni mtazamo pia wa wanaume... wakitongozwa na wanawake wengi hawakubali na kumwona kama mwanamke ni muhuni.
 
Aibu ya mwanamke ataonekana yeye ni maharage ya mbeya maji maramoja
 
Mi demu akinitokea nakimbia kishenzi, najua amedhamiria kuniambukiza ngoma. Tumelelewa kwenye mazingira ambayo demu hawezi kukutokea, labda awe anajiuza.
 
Back
Top Bottom