Hivi kuwa boda boda mwisho umri gani nataka nikajribu upande huo maana hali tete

Hivi kuwa boda boda mwisho umri gani nataka nikajribu upande huo maana hali tete

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
545
Reaction score
1,178
Wadau msaada maana hali tete sikujipanga kimaisha naona naelemewa na maisha sasa naona kazi ya haraka ni boda boda Ila mimi umri umeenda sasa sijui naweza pambana uko
 
Wadau msaada maana hali tete sikujipanga kimaisha naona naelemewa na maisha sasa naona kazi ya haraka ni boda boda Ila mimi umri umeenda sasa sijui naweza pambana uko
Mkuu tafuta pesa kwenye mazingira yoyote,usiogope chochote Wala usikatishwe tamaa na yeyote..kama una nguvu za kufanya kazi yoyote halali we fanya..age is just a number
 
Tena watu wazima kwenye boda boda wanakubalika sana kwasababu Wako makini sana na Wastarabu katika uendeshaji.
Hivyo umri usikutishe.

Ila kama miaka ni kuanzia 70+ sikushauri labda iwe bado uko vizuri kwenye kuona kuskia na afya njema.
 
Kwanza mkuu hongera sana kwa kupata wazo hilo. Na kama upo Dar ni rahisi sana. Na nikwambie ukweli biashara haina umri muda wowote unaweza ukaanza biashara. Ila kwa kua umesema umri umeenda sana nakushauri anza na bajaji. Bajaji itakufaa zaidi ni salama kuliko bodaboda. Endesha bajaji usiku na mchana. Usiku fanya safari za Mwenge mataa mpaka ubungo utafanikiwa mkuu. Unaweza pia ukafika mpaka Buguruni. Unaweza pia bahatika ukapata abiria wa Mbezi ukawapeleka haraka.

Lakini pia usisahau kusoma hii:

View: https://www.instagram.com/reel/DMtLrwNohs1/?igsh=MXc3NjQ0NTByZ3JrZQ==
 
Fanya hata uwe na umri mkubwa. Nimewaona kadhaa barabarani. Sema wa mwisho kumuona alikuwa anaendesha taratibu sana na barabara ilikuwa nyembamba, alipopark pembeni ikabidi nimuangalie ni mtu mzima sana.

Haijalishi una umri gani, usiangalie mtu fanya kile ambacho kitakusaidia wewe na familia yako. Anza tu na Mwenyezi Mungu akutangulie, akuepushe na baya lolote, akulinde barabarani. Bora kupata kuliko kukosa kabisa.
 
I was buying fufu at the junction while waiting for my changes, I saw a woman walking with a child and the child walking faster than the woman and the woman shouted ...Degree!!! wait for me!. In fact I was so amazed hearing that name. So to satisfy my curiosity I walked closer to the woman and asked (MAMA why do you call this little child Degree the woman laughed and said to me "my dear I sent her Mother to University and this is what she brought home"☺️☺️
 
Back
Top Bottom