Siyo lazima sherehe.
Mtoe out. Kokote.
Muwe mmekaa au mmesimama.
Muelezee kwanini unaona yeye na wewe ni sahihi kuishi pamoja milele na kuoana.
Sababu zako zisiwe "Una matako makubwa na chuchu konzi" "Una hips zinavutia macho na unanimaliza on bed" they shouldn't base kwenye muonekano in fact kama unataka kumuoa kwaajili ya matako, kiuno au hips nakushauri temana naye.
So ukishamuelezea hizo sababu muulize kama anajisikia the same, akikubali, chomoa pete mvishe. Kazi imeisha. Nakuhakikishia ndani ya nusu saa utapigiwa simu kugewa hongera na hata hakuna uliyemuambia mpango wako.
Huu mtindo wa kusurprise wenza wetu (ingawa kwa Tz nadoubt kama ni surprise) unampa presha mwenzako mbele za watu ya kujibu "Ndiyo" kwa kuhofia kukudhalilisha mbele ya watu na kuona watu watamuonaje.