King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Thong, ndivyo wanavyoziita hizi..................
Mshua, hii ni gstring banaa, thong inakuwa haifanyi ubakaji
(dada ana miguu michafu, umeona)
:behindsofa:
Thong, ndivyo wanavyoziita hizi..................
Mama weee...........
Nime google wanasema asili yake ni Afrika . Lol.
Jina sahihi ni G String na si bikini...ingawa wengi tunaita bikini.
Mshua, hii ni gstring banaa, thong inakuwa haifanyi ubakaji
(dada ana miguu michafu, umeona)
:behindsofa:
Yuko huku anazijaribisha kwanza................
Thong, ndivyo wanavyoziita hizi..................
Saa hizi atakuwa keshalewa gongo hata macho hayaoni, si unajua bia zimepanda bei?
Akinikamata nimekwisha!eep:
Eee bwana mmmh kuna wengine wanavaa ndio kwa ajili ya (kambi popote) nadhani nimeeleweka hapo kwenye mabano, na kuna wengine wenzangu na mimi tunavaa endapo pale 2 tunapokutana na wapenzi we2.
mim wanawake wote wanao vaa bikin nawaona ni wahuni wa kutupwa?. Kwani wanawake wekileo hovyo kabisaa unamkuta mwanamke katinga bikini na suruali tight/ndembe ndembe au dera au nguo yoyote laini ambazo nyingine kama utaangalia kwa umakini na kwa ukalibu unaona mpaka ngozi ya makalio/****** ambayo si heshima kabisaaa.mim niliwahi mwona mwanamke 1 kavaa suruali lain kiasi kwamba huku nyuma imefyata /imeingia kwenye mfereji wa ******. Je hiyo ni heshima ya wapi?? Wavaao hizo chupi mi naona wapo kibiashara zaidi hasa ile ya kunadi TIGO.
Mtambuzi naona umeamua kuja kwa hasira. Lakini unaonaje...si ametokelezea eeh.
Hi' wanajamii!
Hivi ni kweli kwamba bikini kwa hapa bongo inaashiria uhuni au ukahaba kwa mvaaji,,,?
Naombeni mtazamo wenu kwa hili,binafsi HUWA NAFURAHI SANA KUMUONA MTOTO WA KIKE AKIWA AMEIVAA.
Hizi ndio G.STRING...............
Uhuni ni nini?
Hatari Sana
Mama weee...........