Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 176,399
- 194,328
Kwani wewe ni wale binadamu wabishi wa siku hizi...Mie mwenyewe huo muongozo nautaka 🤣🤣🤣.....kwa hapa nimekwama
Kwani wewe ni wale binadamu wabishi wa siku hizi...Mie mwenyewe huo muongozo nautaka 🤣🤣🤣.....kwa hapa nimekwama
Sawa....swali la kipumbavu kabisa
Sawa Afisa ....Unataka kuolewa na wewe mpaka unawaonea wivu, ? Utapata bwana usijali
Hamnaga hoja zaidi ya matusi, dhihaka na maneno ya kejeli.Mwambie natafuta mke. Kama anachura apige like moja nimfuate inbox..
Hivi huwa hamnaga hoja zaidi ya matusi na maneno ya kejeli??Kama mama ake ni msimbe atatoa wapi baba? Maana swali lake linaelezea uhalisia wa mtoa mada
Pubguza matusi.Kama baba ako hajaoa au mama ako hakuoelewa huezi ona faida
Hebu tutajie .....Naamini umefikia umri wa kuwekwa daraja la mtu mzima/miaka 18+.Sasa,kama umefika na/au kuvuka umri huo na wala haujui faida na hasara za ndoa,basi unapaswa ujitafakari.
Kwahiyo wasioa HAWANA AKILI???Kuoa ni dalili ya ukomavu wa akili kwa mwanaume
Na vilevile ni shule/uongozi wa taasisi endelevu.Kama mtu hana sifa ya kuwa kwenye taasisi hiyo ni lazima imkatae na kumtupa nje au yeye mwenyewe aiogope na kutoingia.Kama yupo ndani atajitoa mwenyewe.NdoKuoa ni dalili ya ukomavu wa akili kwa mwanaume
Samaleko mhishimiwa mwenyekiti wa KN?Hebu tutajie .....
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Nyani wazee hawafundishwi ulaji mwema wa mapera.Labda,kama wanataka kukusumbua tu.Hebu tutajie .....
#YNWA
#YANGA_BINGWA
Sasa wewe unataka mwanamke akupe mchango gani ukimuoa?Mwanamke hana mchango wowote kwenye ndoa
Ndoa nyingi zimejifia chumbani ila ziko hai mbele za watu na malezi ya watoto
Mke ni msaidiziSasa wewe unataka mwanamke akupe mchango gani ukimuoa?
Unataka karani kwenye ofisi yako na yeye achangie kuwalipa mishahara wafanyakazi wako?Mke ni msaidizi