Kwenye serikali au?Watu wengi wanaoa ili wapate heshima
Kuna vyeo bila ndoa hupewi.
Muulize Baba yako anaweza kuwa na jibu zuri kabisaMlioko kwenye ndoa mtuambie faida ya kuoa na wanawake kwanini mnapenda sana muolewe au ndo huwa mnatafuta pa kuponea?????
Kanisani, mtaaniKwenye serikali au?
Na vilevile ni shule/uongozi wa taasisi endelevu.Kama mtu hana sifa ya kuwa kwenye taasisi hiyo ni lazima imkatae na kumtupa nje au yeye mwenyewe aiogope na kutoingia.Kama yupo ndani atajitoa mwenyewe.Ndoa haipendi mtu mwenye udumavu wa akili.Kuoa ni dalili ya ukomavu wa akili kwa mwanaume
Unalala unailomba kila unapojisikia 🙃🙃🙃🙃🙃Mlioko kwenye ndoa mtuambie faida ya kuoa na wanawake kwanini mnapenda sana muolewe au ndo huwa mnatafuta pa kuponea?????
Dahh hii mbona kali..Zamani nilidhani ukisha oa unakua unaichakata kila siku muda wowote ule,
Kumbe kuna kuiomba tena!
MtihaniKama mama ake ni msimbe atatoa wapi baba? Maana swali lake linaelezea uhalisia wa mtoa mada
Nishafika na nishaona 🤗...nasubiri kujifunza na mie nijue faida ya ndoa 😝Angel Nylon pitia hapa...
🫂 Tupe muongozo...Nishafika na nishaona 🤗...nasubiri kujifunza na mie nijue faida ya ndoa 😝
Mie mwenyewe huo muongozo nautaka 🤣🤣🤣.....kwa hapa nimekwama🫂 Tupe muongozo...
Watoto kwa mwanaume na kwa wanawake ni urahisi wa maisha ndio maana ukifilisika mwanaume mke anaingia mitini na mwanamke asipozaa mume anaingia mitini au kuanza vijembe pamoja na ndugu zake hadi mama mkweMlioko kwenye ndoa mtuambie faida ya kuoa na wanawake kwanini mnapenda sana muolewe au ndo huwa mnatafuta pa kuponea?????
bro anza basi ili utupe inspirationMe Kataa Ndoa ila mtu akioa nampongeza na waliopo kwenye ndoa nawapa pongezi pia.
So kila mtu na maamuzi nadhani. Faida or hasara ni kutegemea na couple yenyewe.