Kasome sifa za mke mwema kwenye Biblia Mungu mwenyewe kaweka wazi hali mkate wa uvivuUnataka karani kwenye ofisi yako na yeye achangie kuwalipa mishahara wafanyakazi wako?
Soma vizuri na uelewe.Mke hatoi/hachangii vitu kwa usawa na mwanaume.Habebeshwi majukumu ya ki-baba.Kasome sifa za mke mwema kwenye Biblia Mungu mwenyewe kaweka wazi hali mkate wa uvivu
Hakuna aliyekataa hilo ila ni mchapa kazi na anachokipata anatumia na familia yakeSoma vizuri na uelewe.Mke hatoi/hachangii vitu kwa usawa na mwanaume.Habebeshwi majukumu ya ki-baba.
Unaichapa utakavyo anytimeMlioko kwenye ndoa mtuambie faida ya kuoa na wanawake kwanini mnapenda sana muolewe au ndo huwa mnatafuta pa kuponea?????
Bado haijaondoa sifa za mwanamke wala kumfanya alingane na mwanaume.Hakuna aliyekataa hilo ila ni mchapa kazi na anachokipata anatumia na familia yake
16 Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu. 17 Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu. 18Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.
Methali 31:16-18
Mwanamke huyo hutengeneza nguo na kuziuza, huwauzia wafanyabiashara mishipi
Methali 31:24
27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu. 28 Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema
Methali 31:27, 28
Ndiyo maana nikasema mwanaume atabaki kuwa na jukumu la kuitunza familia. Ila mke hapaswi kuwa mchoyo na mvivuBado haijaondoa sifa za mwanamke wala kumfanya alingane na mwanaume.
Kama hakuna tija unaeza kufanya issue nyingineMlioko kwenye ndoa mtuambie faida ya kuoa na wanawake kwanini mnapenda sana muolewe au ndo huwa mnatafuta pa kuponea?????
Na haiwezekani mke akawa amezubaa tu kama mkebe nyumbani.Lazima achacharike na kazi za nyumbani.Hata kwa afya yake ya mwili na akili inamfaa.Ndiyo maana nikasema mwanaume atabaki kuwa na jukumu la kuitunza familia. Ila hapaswi kuwa mchoyo na mvivu
Jambo lolote km huoni faida yake achana nalo.Mlioko kwenye ndoa mtuambie faida ya kuoa na wanawake kwanini mnapenda sana muolewe au ndo huwa mnatafuta pa kuponea?????