The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,076
Basi ni ruti fupi sana. Dar Tarime ni zaidi ya 1500, Dar Serengeti ni zaidi ya 1500kmHakuna ruti ya Mwanza Mbinga, ipo ya Mwanza Songea nayo ni 1300+kms ila Karagwe Dar ni 1400+
Basi ni ruti fupi sana. Dar Tarime ni zaidi ya 1500, Dar Serengeti ni zaidi ya 1500kmHakuna ruti ya Mwanza Mbinga, ipo ya Mwanza Songea nayo ni 1300+kms ila Karagwe Dar ni 1400+
Kwani Dar-Mutukula kuna sehemu unapanda meli? Si ni bus moja kwa moja?Mtoa mada kamaanisha ruti ya basi (moja kwa moja)
Haifiki 1500 ni kama 1400kmBasi ni ruti fupi sana. Dar Tarime ni zaidi ya 1500, Dar Serengeti ni zaidi ya 1500km
Umenichekesha sana aisee...unatamani uchukue na Passport kabisa kumbe ni Tanzania hii hii...Dar to Kyerwa ndio funga kazi Tanzania! Kyerwa ni mbele ya Karagwe!
Sasa tupo raia huko ndio kwetu, ukiamua kwenda ni kama unavuka boda [emoji28]
Ni kweli hiyo route ni NDEFU haswaWanasemaga Kigoma mwisho wa reli
Kuna Route ndefu kutoka Dar kwenda mikoa mingine kuliko Karagwe kweli! Naona ni balaa parefu halafu basi lipo moja tu City boy[emoji23][emoji23]
Na wanajua ile shughuli tamuuu haswaNje ya mada, hapo Karagwe nilikaa miaka 2 nikatembea na mabinti wa kinyambo 31 watam wako kama wanya rwanda na wengi wana DAWASA
Ni parefu, kwa kuunga nadhani mnatoboa saa kumi alfajili. Hlf kuna bus moja tu napo, falcon
Ndugu zangu wana jf nimeuliza umbali kutoka Tanga to mara ukojeee natarajia kwenda hukoo
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app
Hii unafika bukoba na unaendelea km 100 mbele....na 52 mbele kwenda wilaya ya kyerwa....uzuri kote ni lami...Karagwe ipo ndani yamkoa gani? Kwanini unashindwa kuchambua thread kiasi chakwamba unaandika kaa sisi wote tumekaa uko mkuu? Au ii ilikuwa text unamtumia shemeji imejipost kibaati mbaya?
Dar karagwe ni km 1500+...Hakuna ruti ya Mwanza Mbinga, ipo ya Mwanza Songea nayo ni 1300+kms ila Karagwe Dar ni 1400+
Bado haijafikia hii dar to karagweRoute ndefu ni sumbawanga -Arusha, au Lindi -mwanza
Dar Bukoba tu km 1440...bukoba to karagwe ni km 100...karagwe kyerwa ni 52km...Karibia inalingana na
DSM - MUSOMA au
MWANZA - SONGEA maana hizi ruti zinakaribia 1400 ila hiyo Karagwe ni kiboko.
Ila wewee[emoji28][emoji3526]Happy nation au fester pia inaenda huko hyo route siyo mchezo nilienda kumfata koku wa instragam huko
1500+ kmKwani ni km gapi dar to karagwe. Uskute mtu alisafiri na baiskeli lazima uone mbagala kkoo ni mbali
Hapana kigoma ni pafupi. Kulinganisha na karagwe na kyerwaKigoma ni parefu sana hlf njia mbovu mapori kama yote. Full kutembea roho mkononi
Dar to sumbawanga vp hapo?