Maana siamini km hakuna watu weusi katika NCHI hizo km hawajaolewa au kuoa na wenyeji wa hizi nchi..
Huwa wanaishia wapi?
Pia naamini wapo watu weusi wamezaliwa hizi nchi MIAKA na MIAKA na hawahi kuishi nchi nyingine kuishi zaidi ya hizi, Hawa nao huishia wapi?
Yasije tokea Yale ya kushangalia mwanzo na baadae kuja kujutia..
Tunayo mifano hai KATIKA vipndi fulani mfano wananchi wa Iraq kwa Rais wao ,wa Libya kwa Rais wao na wa Tz kwa rais(baada ya Dua zao kupokelewa na kilio ndio kikazidi)
Huwa wanaishia wapi?
Pia naamini wapo watu weusi wamezaliwa hizi nchi MIAKA na MIAKA na hawahi kuishi nchi nyingine kuishi zaidi ya hizi, Hawa nao huishia wapi?
Yasije tokea Yale ya kushangalia mwanzo na baadae kuja kujutia..
Tunayo mifano hai KATIKA vipndi fulani mfano wananchi wa Iraq kwa Rais wao ,wa Libya kwa Rais wao na wa Tz kwa rais(baada ya Dua zao kupokelewa na kilio ndio kikazidi)