Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

Duh, kwa mwendo huu ndoa nyingi zitakufa. Muwapo kwenye ndoa migongano ni lazima, lakini kama mtapishana halafu ukakimbilia kutafuta faraja nje, hakika umepungukiwa hekima ya ndoa. Ndio maana sio kila mwanamke anafaa kuwa mke!!

Wanawake waaminifu wapo wengi sana. Ila hata ambao siyo waaminifu chanzo ni nyinyi wanaume.
 
Wanawake waaminifu wapo wengi sana. Ila hata ambao siyo waaminifu chanzo ni nyinyi wanaume.
Mwanamke na mwanaume Wana asili tofauti kabisa. Usipoelewa hilo utaishia kunyoosha kidole na ndoa zenu za kisasa ambazo zimethibitika ni unworkable. Chanzo Ni wanaume, fafanua
 
Wa kwangu.... huyu mwanamke wangu ingekuwa ni data basi ni 'outlier' , siwezi ku claim ni mkamilifu ila anaonesha utofauti mkubwa sana na wanawake wengine halafu she is only 22.. mchaga mwenzangu .. yeye pesa anakuambia anatafuta zake which means forever hawezi kurubuniwa kwa pesa.. ila nimeapa kumfungulia biashara kubwa soon nione atavoenda...

Mi naona wanawake wazuri bado wapo kibao.. na uzuri ni subjective.. wewe hao unaowaona kwako hawakufai wanaenda kwa mwanaume mwingine wanaonekana wife materials. Hata wangu kwako anaweza asiwe wife material coz kuna tabia wewe utashindwa kuzivumilia utamuona hafai.

Haya mambo nimejifunza pia yanataka uvumilivu na kujishusha sana tu.. usidharau nguvu ya ubongo wako pia. mwanamke mzuri unaweza kumtengeneza wewe pia kulingana na namna mnavyohusiana kila siku.
Mchaga mwenzako? Kwaio kua mchaga nayo ni point?
 
Wa kwangu.... huyu mwanamke wangu ingekuwa ni data basi ni 'outlier' , siwezi ku claim ni mkamilifu ila anaonesha utofauti mkubwa sana na wanawake wengine halafu she is only 22.. mchaga mwenzangu .. yeye pesa anakuambia anatafuta zake which means forever hawezi kurubuniwa kwa pesa.. ila nimeapa kumfungulia biashara kubwa soon nione atavoenda...

Mi naona wanawake wazuri bado wapo kibao.. na uzuri ni subjective.. wewe hao unaowaona kwako hawakufai wanaenda kwa mwanaume mwingine wanaonekana wife materials. Hata wangu kwako anaweza asiwe wife material coz kuna tabia wewe utashindwa kuzivumilia utamuona hafai.

Haya mambo nimejifunza pia yanataka uvumilivu na kujishusha sana tu.. usidharau nguvu ya ubongo wako pia. mwanamke mzuri unaweza kumtengeneza wewe pia kulingana na namna mnavyohusiana kila siku.
usimuwekee mdhamana mwanamke tena wa miaka 22 ambaye hata manyonyo bado yanakuwa
 
Wapo wengi sna tena sna

Omba mungu akujaalie mm nilifanikiwa kukutana nae mmoja wala sikupoteza mda nimejiwekea ndani
 
Wanawake ni rahisi na kudanganywa na pesa, magari, majumba n.k, hata kama awe mvumilivu kiasi gani mzee kama huna pesa atakuacha Tu.

Yajayo hayafurahishi, hatuko tayari
Hii kidogo ni point ya msingi. Swala la pesa ni changamoto ambayo inahitaji utatuzi wa haraka hasa ukipanga kuishi na mwanamke katika mahusiano. Kama huna hela utamuona kila mwanamke msaliti tu maana shida wenzetu hawajuagi kuzivumilia kwa muda mrefu.
 
Kujishusha kwa mwanamke ni Aina ya udhaifu wa mwanaume na akigundua anakuumiza zaidi maana anajua kabisa anakuweza na huwezi kumuacha ukafanya maiha yako bila yeye.
Nilishawahi kujishusha kwa mwanamke mmoja huko ujanani aiseee alichonifanyia niliapa sitokuja rudia tena kujishusha kwa mwanamke.
Kujishusha ukawa chapati full time ndio mbaya, mwanamke ili uende nae sawa unatakiwa kumuwekea hali flani ya kukuogopa hivi. Asipokuogopa ujue umekwisha maana hata order unazotoa atakuwa anazipuuzia tu.
 
Hongera mkuu, tuombe asishikwe maskio tu huko mbeleni maana utajuta.
Unajua hawa wakat mwengine ni sisi wenyewe ndo tunawafanya wasaliti

Hawa viumbe unatakiwa kuishi nao kwa akili kubwa sna tena sna

Na ukiruhusu nyani wacheze na shamba lako kweli itaku cost lazima umuwekee limitation mapema maana samak umkunje angali mmbichi
 
Mkuu wanawake wasio wasali wapo wengi tu,wewe tafuta mwanamke aliyeokoka kwelikweli hawezi kuwa msaliti,hawa ni waaminifu hadi kufa.Sasa ili umpate mwanamke wa aina hiyo inakubidi umwombe Mungu kweli kweli kwa kumanisha.
Wanawake wa hivyo wapo tele ila ubaya wanakuwaga washamba washamba hivi kitu ambacho walume wengi hawatakagi.

Unachagua demu mjuaji wa kimjinimjini mwisho wa siku anakupelekesha mbaya kabisa yani. Unajikuta umeishia kufumania meseji za njemba ingine.

Mie madem type yangu nachukuaga wale ambao wanaonekana washamba hasa katika jamii, ndo wapogi natural vile navyotaka. Unakuta demu mshambatype ila yupo independent. Hao ndio aina yangu nayoikubali unam mold unavyotaka wewe!
 
Miaka 22 unatoa conclusive statement? Tema mate chini! Unaanza kumfahamu mwanamke akiwa 30+ na uishi naye si chini ya miaka 15.
Na huo umri bado ni Mdogo na hajui maisha ni nn mimi nikioa labda awe na miaka kuanzia 27 hivi hapo sawa siwez kuoa Mwanamke Mwenye miaka chini ya 26 au 27 huyu unakuta ameshakuwa vizuri na anajielewa zaidi kuliko chini ya 26
 
Mkuu wewe upo dunia ya wapi?? Takwimu hizi zilitolewa na Mkemia mkuu wa Serikali mwaka jana na mpaka Bungeni pia wakaiongelea hii issue!

We unategemea adi mtu kaenda kwa mkemia mkuu maana yake haamini kama mtoto ni wake,
Sa utaconclude na ambapo hamna miss understandings, fikiria kidogo basiii
 
Back
Top Bottom