Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

Habari yenu,

Wenzangu nimepitia mengi kama mwanamke mwenye ugumba. Wanawake zaidi ya watatu wote nagundua wasaliti.

Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti? Hasa linapokuja suala la kurubuniwa na pesa?
Mimi
 
Habari yenu,
Wenzangu nimepitia mengi kama mwanamke mwenye ugumba. Wanawake zaidi ya watatu wote nagundua wasaliti.
Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti? Hasa linapokuja suala la kurubuniwa na pesa?
Wapo sana ila siyo wotee
 
Wa kwangu.... huyu mwanamke wangu ingekuwa ni data basi ni 'outlier' , siwezi ku claim ni mkamilifu ila anaonesha utofauti mkubwa sana na wanawake wengine halafu she is only 22.. mchaga mwenzangu .. yeye pesa anakuambia anatafuta zake which means forever hawezi kurubuniwa kwa pesa.. ila nimeapa kumfungulia biashara kubwa soon nione atavoenda...

Mi naona wanawake wazuri bado wapo kibao.. na uzuri ni subjective.. wewe hao unaowaona kwako hawakufai wanaenda kwa mwanaume mwingine wanaonekana wife materials. Hata wangu kwako anaweza asiwe wife material coz kuna tabia wewe utashindwa kuzivumilia utamuona hafai.

Haya mambo nimejifunza pia yanataka uvumilivu na kujishusha sana tu.. usidharau nguvu ya ubongo wako pia. mwanamke mzuri unaweza kumtengeneza wewe pia kulingana na namna mnavyohusiana kila siku.
22 mdogo sana
Ngja afike 28 atakua kakua kiakili utapata picha kamili..
Waaminifu tupo..maisha yanafundisha mengi bt kuwa mwaminifu ni jambo jema kuchagua
 
Kuna jamaa flan ni IT mke wake ni mtoto wa kaka yangu.alikuwa akimuamini mkewe sanaa tena sanaa.na mke alikuwa material haswa wa kuvumilia hali zote anaejua majukum yake.hahaha akamtemtegea vikamera na vitakataka vingine hapo nyumbani.
Siku hiyo amekuja ofisn kwangu anahema huku anakuna kichwa mara ajikune mara ajiume hahaha nikamuuliza vipi shemeji mbona hivyo??!!!
Akaanza kunionyesha video huku ananiomba msamaha kwamba atanivunjia heshima lakini hakuna mtu mwingine ambae angeweza kumtoa katika hilo jinamizi ila mimi.
Daahhhh shetani kumbe bado mtoto mdogo sana ndo anajifunza zambi!
Wanawake ndio mama lao hahaha!!!
Ah mkuu hii habari mbona umeleta nusu
Nini kilitokea/kuonekana kwny CCTV Cameras?.
 
Back
Top Bottom