Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

IMG-20180608-WA0035.jpg
 
Wanaume tuwe na uelewa, kama binti umemkuta hana bikira si wako, xo kuna mwenza wake aliyemtoa bikira na hawezi kumnyima hata ck moja licha ya kuwa haishi naye kamwe, kwa hiyo ukiona kakuacha ujue kapata mwingine kama alivokuja kwako na kumwacha mwanaume mwenzako akiwa na maumivu kama unayoyapata wew, MKE HALISI NI YULE ULIYEMTOA BIKIRA NDUGU wanaume wenzagu, mtoa bikira kwa msichana hasahauriki ata siku moja, maana ndo aliyemwingiza mjini {a.k.a MAHABA} ni sawa na wakala wa mess kumtoa kijijini kwao ARGENTINA hadi BARCELONA
Sio kweli
 
wapo wengi mkuu nakuasure my wife is among of the sijawah kuhisi usaliti toka nimuoe pamoja na mitego ming nliyomuwekea
 
Mkuu wanawake wasio wasali wapo wengi tu,wewe tafuta mwanamke aliyeokoka kwelikweli hawezi kuwa msaliti,hawa ni waaminifu hadi kufa.Sasa ili umpate mwanamke wa aina hiyo inakubidi umwombe Mungu kweli kweli kwa kumanisha.
Anakuwa ana matatizo flani huyo, aidha kauvagaa u Dally kimoko au chura hana ama sura mbovu! I dnt prefer walokole in anyways! Natafta ninaendana nae...ulokole sio benchmark kabisa maana wengi ni wanafiki sana!
 
Miaka 22 unatoa conclusive statement? Tema mate chini! Unaanza kumfahamu mwanamke akiwa 30+ na uishi naye si chini ya miaka 15.
Jamaa bado mgeni msamehe bure! Kuna transitions zitatokea hapo kuanzia 23-27 hatakaa aamini!
 
Back
Top Bottom