Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti?

Pesa Uchawi wa kizungu,Demu wako akiruka kiunzi cha mtego wa pesa weka ndani fasta.
MPUNGA.jpg

AUTOBIO.jpg

HOUSE.jpg
 
Habari yenu,

Wenzangu nimepitia mengi kama mwanamke mwenye ugumba. Wanawake zaidi ya watatu wote nagundua wasaliti.

Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti? Hasa linapokuja suala la kurubuniwa na pesa?
Ndio, mke wangu mimi nimemuos bikra, ni wanawake wachache amsmbao waliolewa hawana bikra waaminifu,hii haimanishi wote walioolewa na bikra waaminifu,huu ndio ukweli mkavu.
 
Wa kwangu.... huyu mwanamke wangu ingekuwa ni data basi ni 'outlier' , siwezi ku claim ni mkamilifu ila anaonesha utofauti mkubwa sana na wanawake wengine halafu she is only 22.. mchaga mwenzangu .. yeye pesa anakuambia anatafuta zake which means forever hawezi kurubuniwa kwa pesa.. ila nimeapa kumfungulia biashara kubwa soon nione atavoenda...

Mi naona wanawake wazuri bado wapo kibao.. na uzuri ni subjective.. wewe hao unaowaona kwako hawakufai wanaenda kwa mwanaume mwingine wanaonekana wife materials. Hata wangu kwako anaweza asiwe wife material coz kuna tabia wewe utashindwa kuzivumilia utamuona hafai.

Haya mambo nimejifunza pia yanataka uvumilivu na kujishusha sana tu.. usidharau nguvu ya ubongo wako pia. mwanamke mzuri unaweza kumtengeneza wewe pia kulingana na namna mnavyohusiana kila siku.
Wachaga wengi wana atitude hiyo, hivyo ni wazuri kwa kuolewa.

Naona hata waarusha + wamasai hawadanganyiki kiviiile na pesa za watu.

Sijajustify ila nimeligundua hilo.
 
Dogo, badala ya kuumiza kichwa kuuliza kama anaweza kurubuniwa kwa pesa akakusaliti, weka bidii kwny kusaka noti kwnz. Hv hujaona humu wanasema hawapendi mwanaume wa hovyo anaemiliki pu.mb pekee bila fedha?? Ww unauliza kama kuna makonzi polis? Mikono mitupu inalambwa kwani? Umesalitiwa na zaidi ya watatu bado hujaelewa tu! Hata maandiko yanasema "..fedha ni ulinzi"
 
Wa kwangu.... huyu mwanamke wangu ingekuwa ni data basi ni 'outlier' , siwezi ku claim ni mkamilifu ila anaonesha utofauti mkubwa sana na wanawake wengine halafu she is only 22.. mchaga mwenzangu .. yeye pesa anakuambia anatafuta zake which means forever hawezi kurubuniwa kwa pesa.. ila nimeapa kumfungulia biashara kubwa soon nione atavoenda...

Mi naona wanawake wazuri bado wapo kibao.. na uzuri ni subjective.. wewe hao unaowaona kwako hawakufai wanaenda kwa mwanaume mwingine wanaonekana wife materials. Hata wangu kwako anaweza asiwe wife material coz kuna tabia wewe utashindwa kuzivumilia utamuona hafai.

Haya mambo nimejifunza pia yanataka uvumilivu na kujishusha sana tu.. usidharau nguvu ya ubongo wako pia. mwanamke mzuri unaweza kumtengeneza wewe pia kulingana na namna mnavyohusiana kila siku.
Akifika 26 upo nae njoo nikupe nusu ya mali yangu.
 
Wa kwangu.... huyu mwanamke wangu ingekuwa ni data basi ni 'outlier' , siwezi ku claim ni mkamilifu ila anaonesha utofauti mkubwa sana na wanawake wengine halafu she is only 22.. mchaga mwenzangu .. yeye pesa anakuambia anatafuta zake which means forever hawezi kurubuniwa kwa pesa.. ila nimeapa kumfungulia biashara kubwa soon nione atavoenda...

Mi naona wanawake wazuri bado wapo kibao.. na uzuri ni subjective.. wewe hao unaowaona kwako hawakufai wanaenda kwa mwanaume mwingine wanaonekana wife materials. Hata wangu kwako anaweza asiwe wife material coz kuna tabia wewe utashindwa kuzivumilia utamuona hafai.

Haya mambo nimejifunza pia yanataka uvumilivu na kujishusha sana tu.. usidharau nguvu ya ubongo wako pia. mwanamke mzuri unaweza kumtengeneza wewe pia kulingana na namna mnavyohusiana kila siku.
Akuntombe nan hahaaaa Mkuu badilisha I.d just joking broo
 
Habari yenu,

Wenzangu nimepitia mengi kama mwanamke mwenye ugumba. Wanawake zaidi ya watatu wote nagundua wasaliti.

Hivi kuna mwanamke ambaye si msaliti? Hasa linapokuja suala la kurubuniwa na pesa?
Demiss, huyu maneno matupu Hakuna vitendo
 
Back
Top Bottom