Hivi kuna maandamano yoyote yaliyoitishwa Tanzania juu ya Serikali kisha yakafanikiwa?

Maandamano ni yenye ajenda Matembezi hayahitaji ajenda.

Yale ya BAVICHA yalikuwa ni Maandamano yenye ajenda ya Kudai KATIBA MPYA.
Nilijitutumua kukupa definitions zote za Procession na Protest kwa kutegemea na wewe ungekuja na definitions ambazo zingejitosheleza kuelezea hicho ulichokiita maandamano kwa jina la procession na sio protest.

Ndio mana mwanzo nilikwambia unahitaji matibabu ya hicho kilichomo kwenye fuvu lako.
 
1. Bado hapajatokea ishu yoyote serious iliyowahi kuwagusa na kuwaumiza Wananchi moja kwa moja.

2. Watanzania wengi hawana uadilifu, so ukitokea ishu yoyote ya kuvunja uadilifu au ukandamizaji hawashtuki sana, kasababu na yeye ameshawahi vunja maadili, ashawah iba, ameshawahi kuomba rushwa iwe ya pesa au ngono, so haumii kihivyo maana nayeye anafanya kt eneo lake.

3. Ukosefu wa Elimu ya kujitambua, hapa watanzania wengi hawajui Km serikali ni mali yao, wanadhan Serikali ni kitu hatari sana na inaweza kujiamria itakavyo.

4. Uoga na ile asili yetu ya kijamaa, inapelekea kuona kila mtu ni ndugu yako, sasa kumpiga au kumpinga kwa nguvu sana itaonesha km unamuonea ndugu yako hivi.
 
Nilijitutumua kukupa definitions zote za Procession na Protest kwa kutegemea na wewe ungekuja na definitions ambazo zingejitosheleza kuelezea hicho ulichokiita maandamano kwa jina la procession na sio protest.

Ndio mana mwanzo nilikwambia unahitaji matibabu ya hicho kilichomo kwenye fuvu lako.
Huu sasa ni ubishi hebu rudi tulipoanzia.
 
Hakuna sisimizi yeyote kati ya hawa Mdude, Slaa au Mwabukusi ambaye anaweza kuanzisha maandamano.

Watu wako na mishe zao za kutafuta fedha, waache waje waunge hawa malaya wa kisiasa. !! Nani anamuamini Slaa sasa hivi? Mtu ambaye kakataliwa mpaka na familia yake na chama chake
Wanazitafutaje hizo fedha? Kutoka kwa nani??
 
Wakuu na wajuzi wa mambo naomba kuuliza swali.

Binafsi tangu nimepata akili zangu, sijawahi ona hata maandamano moja iliyoitishwa ama kuratibiwa kwa ajili ya kuishinikiza Serikali ama kulaani jambo fulani lilifonaywa na Serikali kisha hiyo maandamano ifanikiwe. Hapa sizungumzii maandamano ya kina Mange Kimambi na diaspora wanaoandamana kwenye balozi za Tanzania zilizopo nchi za nje ila nazungumzia maandamano kama maandamano yaliyoshirikisha wananchi hapa Tanzania na kuteka mji fulani au miji fulani ndani ya Tanzania. Mara ya mwisho kuskia joto ya kufanyika maandamano nchi nzima niliishia kuona maandamano kwenye Twitter na Facebook lakini barabarani sikuona mtu.

Vipi kuna yeyote mwenye kumbukumbu ya maandamano kubwa kutokea hapa Tanzania bara (achana na ya Zanzibar kwa sababu nilishaona mara kadhaa wananchi kufanya maandamano licha ya polisi kuonesha kuzuia) na yakafana?
Tatizo ni HOFU ya watawala.

Wamejipanga kuua yeyote atakayeandamana
 
Back
Top Bottom