Hivi Kuna Haja Gani JK Kwenda Kuhudhuria Mkutano wa ILO wakati kuna Waziri wa Kazi

aende akae hata mwezi mzima kwani akibaki bongo analeta kauli za ajabu ajabu 'MAASKOFU WAUZA MISUBA'

mimi najisikia ahueni JK akiwa nje manake hata akibaki hamna akifanyacho
 
aende akae hata mwezi mzima kwani akibaki bongo analeta kauli za ajabu ajabu 'MAASKOFU WAUZA MISUBA'

mimi najisikia ahueni JK akiwa nje manake hata akibaki hamna akifanyacho

Hahahahhah....hahahaha...hah.haha......ha..kekeke..kwikwikwiwi...
Umenitengenezea siku yangu vizuri sana.ni maajabu sana mimi kucheka asubuhi yoe hii.
Hata mimi nadhani ni bora aende huko huko ulaya akakae huko asubiri mikutano kuliko kurudi mara kwa mara huku.
akikaa huko atapunguza garama ya mafuta ya ndege.
 
Hio meeting vitu ambavyo vinakua addressed huko kweli kabisa hatikiwi huko
Nafikiri ingekua busara kam Waziri wa Kazi ange husika... HB ni mtaalam saana wa
ku delegate, but issue ya safari na sherehe humtoi.... Akirudi atasema alienda na kuomba..
 
Pamoja na kukwepa kutatua matatatizo ya ndani ya nchi na ugumu wa kuongoza nchi miaka minne iliyobaki, msisahau suala la posho za safari jamani. Siyo kila kiongozi anapenda posho zimpite
 
Hivi akiwepo au asipokuwepo kuna tofauti gani maana akiwepo hana analofanya zaidi ya kuhudhuria sherehe na kufungua mikutano. Bora aende tuu tubaki tukijua hatuna rais wala nini. Na makamu wake nae hana jipya
 
Mimi sioni sababu ya kuwa na mawaziri lukuki, kumbe mhe. Rais anaweza kufanya kazi zote mwenyewe!
 
halafu safari hii hajaenda kwenye lile jimbo lake kule marekani aliko daktari wake au kikombe cha babu kime msaidia..
 
ILO iko katika utatu, yaani Employers, Workers and Government. Hiyo office ya ILO hapo Dar na kwingine kote duniani, ni secretariat ya kutekeleza kazi za utatu huo.

Aidha, Tanzania ni miongoni mwa washirika wakuu wa ILO duniani. Mfano, mwaka 2001 Rais Benjamin Mkapa (mstaafu) alizundua mpango wa ILO duniani wa kutokomeza ajira mbaya za watoto. Vilevile, Tanzania tulikuwa miongoni mwa nchi tatu za kwanza, ikiwemo El-salvador, Nepal na Tanzania kutelekeza mpango huo wa kutokemeza ajira mbaya za watoto (Time Bound Programme on Worst Forms of Child Labour). Lakini, pia ujue Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani tunaopilot mirudi kadhaa ya UN, ikiwemo One UN-Delivering as ONe Program, Millenium Village, na sasa UNDAP.

Please, mambo mengine siyo tu kuponda Rais wetu, labda kama una jingine. Kwenda kwake katika ILO-Governing Body ni sahihi na wakati mwingine anahitajika yeye kama Head of State and Government.
 
yaani hata akiwa hayupo hakuna tofauti maana nchi haina rais....yaani huyu hata mkutano wa mameya wa miji mikuu duniani atataka naye aende

Ukiona rais anapigania vi- perdiems vya mameya na mawaziri huyo ni wa kuogopa. Unafikiri ni kitu gani kinampa motisha kama siyo hivyo vi- perdiems kwa sababu kama ni kusafiri nje amesafiri sana akiwa waziri wa mambo ya nchi za nje.
 
jamani hatuwezi kumwachia huyu jamaa awe anasafiri tu bila mipango,kwani waziri hawezi kumwakilisha huyu mzee??mnajua tunadharauliwa sana kwa hilo?
 
ILO iko katika utatu, yaani Employers, Workers and Government. Hiyo office ya ILO hapo Dar na kwingine kote duniani, ni secretariat ya kutekeleza kazi za utatu huo.

Aidha, Tanzania ni miongoni mwa washirika wakuu wa ILO duniani. Mfano, mwaka 2001 Rais Benjamin Mkapa (mstaafu) alizundua mpango wa ILO duniani wa kutokomeza ajira mbaya za watoto. Vilevile, Tanzania tulikuwa miongoni mwa nchi tatu za kwanza, ikiwemo El-salvador, Nepal na Tanzania kutelekeza mpango huo wa kutokemeza ajira mbaya za watoto (Time Bound Programme on Worst Forms of Child Labour). Lakini, pia ujue Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani tunaopilot mirudi kadhaa ya UN, ikiwemo One UN-Delivering as ONe Program, Millenium Village, na sasa UNDAP.

Please, mambo mengine siyo tu kuponda Rais wetu, labda kama una jingine. Kwenda kwake katika ILO-Governing Body ni sahihi na wakati mwingine anahitajika yeye kama Head of State and Government.
Umeeleza vizuri mkuu, lakini inakuwa vipi pale kila siku ni yy tu ndo anahudhuria tena wakati mwingine anaoenda kukutana nao si watu wa kada yake kabisa, kikubwa hapa nadhani rais wangu anapenda sana kusafiri
 
ILO iko katika utatu, yaani Employers, Workers and Government. Hiyo office ya ILO hapo Dar na kwingine kote duniani, ni secretariat ya kutekeleza kazi za utatu huo.

Aidha, Tanzania ni miongoni mwa washirika wakuu wa ILO duniani. Mfano, mwaka 2001 Rais Benjamin Mkapa (mstaafu) alizundua mpango wa ILO duniani wa kutokomeza ajira mbaya za watoto. Vilevile, Tanzania tulikuwa miongoni mwa nchi tatu za kwanza, ikiwemo El-salvador, Nepal na Tanzania kutelekeza mpango huo wa kutokemeza ajira mbaya za watoto (Time Bound Programme on Worst Forms of Child Labour). Lakini, pia ujue Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani tunaopilot mirudi kadhaa ya UN, ikiwemo One UN-Delivering as ONe Program, Millenium Village, na sasa UNDAP.

Please, mambo mengine siyo tu kuponda Rais wetu, labda kama una jingine. Kwenda kwake katika ILO-Governing Body ni sahihi na wakati mwingine anahitajika yeye kama Head of State and Government.

Ni mandatory yeye kuhudhuria kwa sababu inabidi rais awe na aibu kwani tangu arudi kutoka SA hana hata siku tatu ameshatoweka. Wewe unayosema ni sawa je hairuhusiwi ku- delegate mkuu au anaona hana cha kufanya hapa TZ bora akanyooshe miguu. Halafu nakuuliza Head of state ni position au ni a specific individual? . Kama head of state ni JK na siyo position inayoshikiliwa na mtu aitwaye JK you must be wrong. na kama ni Position basi it's delegable kwa sababu pale wanamtaka rais awe amemtuma mtu kwa niaba au yeye . Sasa akirudi ukawepo mkutano mwingine itabidi aondoke?

Mbona in the same meeting Urusi imewakilishwa na waziri mkuu (Vladimir Putin )pamoja na Palestina ina maana hao hawana heads of states.
 
Ni mandatory yeye kuhudhuria kwa sababu inabidi rais awe na aibu kwani tangu arudi kutoka SA hana hata siku tatu ameshatoweka. Wewe unayosema ni sawa je hairuhusiwi ku- delegate mkuu au anaona hana cha kufanya hapa TZ bora akanyooshe miguu. Halafu nakuuliza Head of state ni position au ni a specific individual? . Kama head of state ni JK na siyo position inayoshikiliwa na mtu aitwaye JK you must be wrong. na kama ni Position basi it's delegable kwa sababu pale wanamtaka rais awe amemtuma mtu kwa niaba au yeye . Sasa akirudi ukawepo mkutano mwingine itabidi aondoke?

Mbona in the same meeting Urusi imewakilishwa na waziri mkuu (Vladimir Putin )pamoja na Palestina ina maana hao hawana heads of states.

Katika hili, hamjamtendea haki Rais wetu. Rais Kikwete ni lobyist mzuri sana. Mfano, umeweza kuwashawishi wadanish kutoa msaada wa USD 24m kwa ajili ya mradi wa Youth Entrepreneurship Facility (YEF) kwa nchi za Kenya, Uganda na Tanzania. Ni mradi unaotekelezwa na ILO ukilenga kupunguza tatizo la ajira miongoni mwa vijana.

Hakika, kwenda kwake Geneva ni sawa maana pengine ILO wanataka kumpongeza kwa jitihada zake personally katika kupata donge hilo nono la wadanish! UN hususani ILO wako beneti na J.K, ata ukiua vipi jamaa yupo juu!
 
Hizo hela angeliweza kuzipata hapahapa Tanzania bila kumpigia mtu magoti......

Yaani Matonya wa Kimataifa nayo imekuwa ni sifa.... Hela zenyewe $24.mls kwa nchi, ...... khaaaa!!!!!

Katika hili, hamjamtendea haki Rais wetu. Rais Kikwete ni lobyist mzuri sana. Mfano, umeweza kuwashawishi wadanish kutoa msaada wa USD 24m kwa ajili ya mradi wa Youth Entrepreneurship Facility (YEF) kwa nchi za Kenya, Uganda na Tanzania. Ni mradi unaotekelezwa na ILO ukilenga kupunguza tatizo la ajira miongoni mwa vijana.

Hakika, kwenda kwake Geneva ni sawa maana pengine ILO wanataka kumpongeza kwa jitihada zake personally katika kupata donge hilo nono la wadanish! UN hususani ILO wako beneti na J.K, ata ukiua vipi jamaa yupo juu!
 
Katika hili, hamjamtendea haki Rais wetu. Rais Kikwete ni lobyist mzuri sana. Mfano, umeweza kuwashawishi wadanish kutoa msaada wa USD 24m kwa ajili ya mradi wa Youth Entrepreneurship Facility (YEF) kwa nchi za Kenya, Uganda na Tanzania. Ni mradi unaotekelezwa na ILO ukilenga kupunguza tatizo la ajira miongoni mwa vijana.

Hakika, kwenda kwake Geneva ni sawa maana pengine ILO wanataka kumpongeza kwa jitihada zake personally katika kupata donge hilo nono la wadanish! UN hususani ILO wako beneti na J.K, ata ukiua vipi jamaa yupo juu!

Hivi unaweza kuwa Lobbyist halafu ukawa mtu ambaye huna foresight au shortsightedness? Kama ni Lobysit nzuri ameshindwaje tangu 2005 ku lobby akatokomeza mgao wa umeme unaotutesa sana hapa Arusha na sehemu nyingi za TZ. Umeme umeua kabisa mradi wangu wa kuangua vifaranga na si mimi tu na wengine wamepoteza ajira ktk makarakana mengi tu hapa Ar. Sasa huyu anatakiwa akae kitako atambue matatizo makubwa ya mTZ. Dola Mil 24 kwa nchi 3 ni peanut ndugu yangu kwanza kwa calibre ya rais ni kujidhalilisha kwani anatakiwa kwa calibre yake afanye zaidi. Hiyo anayofanya inaweza kufanywa na mbunge yoyote mkuu.
 
Back
Top Bottom