The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
mtoto wa bagamoyo kasepa zake Uswizi. kwa raha zake!
aende akae hata mwezi mzima kwani akibaki bongo analeta kauli za ajabu ajabu 'MAASKOFU WAUZA MISUBA'
mimi najisikia ahueni JK akiwa nje manake hata akibaki hamna akifanyacho
yaani hata akiwa hayupo hakuna tofauti maana nchi haina rais....yaani huyu hata mkutano wa mameya wa miji mikuu duniani atataka naye aende
Umeeleza vizuri mkuu, lakini inakuwa vipi pale kila siku ni yy tu ndo anahudhuria tena wakati mwingine anaoenda kukutana nao si watu wa kada yake kabisa, kikubwa hapa nadhani rais wangu anapenda sana kusafiriILO iko katika utatu, yaani Employers, Workers and Government. Hiyo office ya ILO hapo Dar na kwingine kote duniani, ni secretariat ya kutekeleza kazi za utatu huo.
Aidha, Tanzania ni miongoni mwa washirika wakuu wa ILO duniani. Mfano, mwaka 2001 Rais Benjamin Mkapa (mstaafu) alizundua mpango wa ILO duniani wa kutokomeza ajira mbaya za watoto. Vilevile, Tanzania tulikuwa miongoni mwa nchi tatu za kwanza, ikiwemo El-salvador, Nepal na Tanzania kutelekeza mpango huo wa kutokemeza ajira mbaya za watoto (Time Bound Programme on Worst Forms of Child Labour). Lakini, pia ujue Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani tunaopilot mirudi kadhaa ya UN, ikiwemo One UN-Delivering as ONe Program, Millenium Village, na sasa UNDAP.
Please, mambo mengine siyo tu kuponda Rais wetu, labda kama una jingine. Kwenda kwake katika ILO-Governing Body ni sahihi na wakati mwingine anahitajika yeye kama Head of State and Government.
ILO iko katika utatu, yaani Employers, Workers and Government. Hiyo office ya ILO hapo Dar na kwingine kote duniani, ni secretariat ya kutekeleza kazi za utatu huo.
Aidha, Tanzania ni miongoni mwa washirika wakuu wa ILO duniani. Mfano, mwaka 2001 Rais Benjamin Mkapa (mstaafu) alizundua mpango wa ILO duniani wa kutokomeza ajira mbaya za watoto. Vilevile, Tanzania tulikuwa miongoni mwa nchi tatu za kwanza, ikiwemo El-salvador, Nepal na Tanzania kutelekeza mpango huo wa kutokemeza ajira mbaya za watoto (Time Bound Programme on Worst Forms of Child Labour). Lakini, pia ujue Tanzania ni miongoni mwa mataifa machache duniani tunaopilot mirudi kadhaa ya UN, ikiwemo One UN-Delivering as ONe Program, Millenium Village, na sasa UNDAP.
Please, mambo mengine siyo tu kuponda Rais wetu, labda kama una jingine. Kwenda kwake katika ILO-Governing Body ni sahihi na wakati mwingine anahitajika yeye kama Head of State and Government.
Ni mandatory yeye kuhudhuria kwa sababu inabidi rais awe na aibu kwani tangu arudi kutoka SA hana hata siku tatu ameshatoweka. Wewe unayosema ni sawa je hairuhusiwi ku- delegate mkuu au anaona hana cha kufanya hapa TZ bora akanyooshe miguu. Halafu nakuuliza Head of state ni position au ni a specific individual? . Kama head of state ni JK na siyo position inayoshikiliwa na mtu aitwaye JK you must be wrong. na kama ni Position basi it's delegable kwa sababu pale wanamtaka rais awe amemtuma mtu kwa niaba au yeye . Sasa akirudi ukawepo mkutano mwingine itabidi aondoke?
Mbona in the same meeting Urusi imewakilishwa na waziri mkuu (Vladimir Putin )pamoja na Palestina ina maana hao hawana heads of states.
Katika hili, hamjamtendea haki Rais wetu. Rais Kikwete ni lobyist mzuri sana. Mfano, umeweza kuwashawishi wadanish kutoa msaada wa USD 24m kwa ajili ya mradi wa Youth Entrepreneurship Facility (YEF) kwa nchi za Kenya, Uganda na Tanzania. Ni mradi unaotekelezwa na ILO ukilenga kupunguza tatizo la ajira miongoni mwa vijana.
Hakika, kwenda kwake Geneva ni sawa maana pengine ILO wanataka kumpongeza kwa jitihada zake personally katika kupata donge hilo nono la wadanish! UN hususani ILO wako beneti na J.K, ata ukiua vipi jamaa yupo juu!
Katika hili, hamjamtendea haki Rais wetu. Rais Kikwete ni lobyist mzuri sana. Mfano, umeweza kuwashawishi wadanish kutoa msaada wa USD 24m kwa ajili ya mradi wa Youth Entrepreneurship Facility (YEF) kwa nchi za Kenya, Uganda na Tanzania. Ni mradi unaotekelezwa na ILO ukilenga kupunguza tatizo la ajira miongoni mwa vijana.
Hakika, kwenda kwake Geneva ni sawa maana pengine ILO wanataka kumpongeza kwa jitihada zake personally katika kupata donge hilo nono la wadanish! UN hususani ILO wako beneti na J.K, ata ukiua vipi jamaa yupo juu!