Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Mbona hata kitabu cha kikristo cha dini nao wamekatazwa bwashee? Nyie mnakula na kujiita wakristo , mnachagua vya kufauta na kuacha?

Huyu mdudu hana uharamu wowote kwa sisi wamatumbi , nikujipendekeza kwetu tu kwenye tamaduni za watu tu.
 
20250817_205615.png


tapatalk_1495297805963.jpg
 
mgogoro wa chair fire ni wa pande zote
 
Kitimoto tukiweka ushabiki wa dini pemben si muslims si Christians bado ni haramu.
Biblia imekataza ulaji wa nguruwe bila kupepesa macho kuna vifungu zaidi ya 30 biblia imekataza nguruwe.
Labda kwenye pombe sidhani hata vifungu 5 vipo ambavyo vimekataza pombe, unakuta mtu anakula mdudu halafu anakataa pombe akidai biblia imekataza
Em tuje kwenye maisha ya kawaida, uharamu wake ni upi?

Tukisema pombe ni haramu naweza kukubali mana pombe inaweza kukupotezea utimamu wa akili na kufanya vitu vya ovyo, sasa em nambie kuhusu uharamu wa kitimoto ni upi?
 
Mbona hata kitabu cha kikristo cha dini nao wamekatazwa bwashee? Nyie mnakula na kujiita wakristo , mnachagua vya kufauta na kuacha?

Huyu mdudu hana uharamu wowote kwa sisi wamatumbi , nikujipendekeza kwetu tu kwenye tamaduni za watu tu.

wanasema paulo kawaruhusu 😁
 
Mafundisho ya Dini ya Kiislamu yameelekeza hivyo ni Najisi vile vile haramu kula guruwe. pia kutumia ulevi aina yoyote.
 
Em tuje kwenye maisha ya kawaida, uharamu wake ni upi?

Tukisema pombe ni haramu naweza kukubali mana pombe inaweza kukupotezea utimamu wa akili na kufanya vitu vya ovyo, sasa em nambie kuhusu uharamu wa kitimoto ni upi?
Ewaaaa hoja nzuri sana. Ukifunika biblia na kuruani, shida yake ni nini?
 
Kitimoto tukiweka ushabiki wa dini pemben si muslims si Christians bado ni haramu.
Biblia imekataza ulaji wa nguruwe bila kupepesa macho kuna vifungu zaidi ya 30 biblia imekataza nguruwe.
Labda kwenye pombe sidhani hata vifungu 5 vipo ambavyo vimekataza pombe, unakuta mtu anakula mdudu halafu anakataa pombe akidai biblia imekataza
Mambo ya agano la kale hayo watu walikua wakienenda kimwili sana kuliko kiroho. Nina bado kuna dini zinaenenda kimwili zaidi kuliko kiroho kama walivyokua Wasadukayo wa agano jipya
 
Em tuje kwenye maisha ya kawaida, uharamu wake ni upi?

Tukisema pombe ni haramu naweza kukubali mana pombe inaweza kukupotezea utimamu wa akili na kufanya vitu vya ovyo, sasa em nambie kuhusu uharamu wa kitimoto ni upi?
Kitimoto inabidi ipikwe vizuri na iive sawa sawa. Ina minyoo hatari ambayo huwa haifi kirahisi na ukila ambayo haijapikwa vizuri minyoo hiyo ina tabia ya kupanda kichwani na kusababisha kifafa na baadaye kifo.

Kama unapiga sana mbuzi huyu wa Vatican basi jenga tabia ya kunywa dawa za minyoo kila baada ya miezi mitatu. Hii ni muhimu sana!

images (1).jpeg
 
Em tuje kwenye maisha ya kawaida, uharamu wake ni upi?

Tukisema pombe ni haramu naweza kukubali mana pombe inaweza kukupotezea utimamu wa akili na kufanya vitu vya ovyo, sasa em nambie kuhusu uharamu wa kitimoto ni upi?
Pombe inakupoteza utimamu au ulafi wako wa kugida Pombe nyingi ndio unakupotezea utimamu?
 
Em tuje kwenye maisha ya kawaida, uharamu wake ni upi?

Tukisema pombe ni haramu naweza kukubali mana pombe inaweza kukupotezea utimamu wa akili na kufanya vitu vya ovyo, sasa em nambie kuhusu uharamu wa kitimoto ni upi?
Watu wanakunywa pombe na hawafanyi vitu vya ovyo, kuna watu wanakunywa pombe inawapa raha kama vile ww unavyokunywa soda vile .
Biblia ilichokataza ni ulevi ambao upo wazi unaeza kuwa ni wa kitu chochote.

Tunaongelea imani tutajikita kwenye imani zaidi na si maisha ya kawaida kama unavyotaka wewe, imani haipaswi kuwa na maswali mengi unafuata kile unachoambiwa tu pasipo kuhoji sana.
Biblia ambacho ni kitabu cha wakristo wote kimekataza kula nguruwe direct, kimeandika nguruwe asiliwe zaidi ya maandiko 30
 
Pombe inakupoteza utimamu au ulafi wako wa kugida Pombe nyingi ndio unakupotezea utimamu?
Umeuliza swali afu hapo hapo umejijibu, kwan kati ya kitimoto kingi na kidogo kipi ni haramu?

Afu mbona point ya msingi unaiacha unakimbilia point ndogo? 😂
 
Mambo ya agano la kale hayo watu walikua wakienenda kimwili sana kuliko kiroho. Nina bado kuna dini zinaenenda kimwili zaidi kuliko kiroho kama walivyokua Wasadukayo wa agano jipya
Haya torati imeandika usile nguruwe wala mchuzi wake , sasa ebu twende na hili andiko kiroho namna ya kutokula nguruwe wala mchuzi wake kiroho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom