Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

Naona ni kama hichi cha huku
Sanaaa, yaani kinapita usiku kulele za kufa mtu, ma antilag (not sure km nimepatia) kibao. Ha haaa ni starehe yake lkn tatizo amefululiza kutupigia kelele
 
wengine tuna vigari vyetu tunalala navyo humu vitandani,vinaunguruma kama scania iliyokosa mafuta inataka kuzimika,muffler zinapiga filimbi tuu,hicho kigari chako tutakisikiaje!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…