Hivi kile kigari kinachopiga kelele usiku wa manane ni cha nani?

Yani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity.

Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..
Kelele hapo stendi? Wewe wa hapohapo utakuwa na jibu.
Mbagala Rangitatu kipo cha Maji Poa.
 
Yani kuna kigari sijui ni Alteza sijui ni subaru ikifika muda wa saa sita unusu hadi tisa hivi usiku wa manane huko barabarani kuna kigari hua kinapiga kelele sana zile za mufler/exousity.

Hivi huyu mwenye hicho kigari au dereva muda huo anakuwa anachezea hicho kigari kwa kuwa muda huo barabara inakuwa free kwa maana kwamba matrafiki hawapo au kwa kuwa muda huo babrabara inakuwa nyeupe ndio anachezea anavyotaka..
Umeandika kama vile jf inatumika mtaani kwenu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kwa wanaoishi maeneo haya ya ubungo na sinza mida hiyo lazima waisikie, ni gari ya patrol usiombe wakikimbize huo usiku au wakukute maeneo ya maporini huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom