johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Kwa bahati nzuri niliweza kufuatilia ziara zote za Rais Magufuli katika awamu yake ya kwanza ya uongozi.
Kila aliposimama kusalimia wapiga kura wake alielezwa matatizo lukuki na wananchi wa maeneo hayo kana kwamba hawana mbunge na hii ni ishara kuwa Wabunge wengi wa awamu hii ni mizigo.
Haiwezekani matatizo yamsubiri Rais Magufuli aje kuyatatua wakati wabunge wapo na wengine ni mawaziri kabisa.
Hebu fikiria mambo yaliyoibuka Kibiti, Rufiji, Mkuranga na Kilosa unaweza kuamini hawana wabunge kabisa.
Ni wakati sasa chama kikateua wagombea wenye wito wa utumishi na siyo hawa wafanyabiashara waliojazana bungeni kwa maslahi binafsi na kusaka fursa.
Nawatakia Ijumaa kareem.
Maendeleo hayana vyama!
Kila aliposimama kusalimia wapiga kura wake alielezwa matatizo lukuki na wananchi wa maeneo hayo kana kwamba hawana mbunge na hii ni ishara kuwa Wabunge wengi wa awamu hii ni mizigo.
Haiwezekani matatizo yamsubiri Rais Magufuli aje kuyatatua wakati wabunge wapo na wengine ni mawaziri kabisa.
Hebu fikiria mambo yaliyoibuka Kibiti, Rufiji, Mkuranga na Kilosa unaweza kuamini hawana wabunge kabisa.
Ni wakati sasa chama kikateua wagombea wenye wito wa utumishi na siyo hawa wafanyabiashara waliojazana bungeni kwa maslahi binafsi na kusaka fursa.
Nawatakia Ijumaa kareem.
Maendeleo hayana vyama!