Catherine
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,261
- 758
Ndio maana nahisi wameweka kakoein kwenye server hakyanani
hahahaha! Kama na mpenzi wako unampenda kama hivi, atakuwa anaenjoy sana. Lol
Ndio maana nahisi wameweka kakoein kwenye server hakyanani
Kama maradhi ya kupenda kupitiliza......Usipomuona unayempenda unakuwa kama umejeruhiwa. Duh..kwa kitendo cha hawa jamaa kuadimika hewani kwa zaidi ya masaa 6 nimekosa raha tena wikendi hii wametutia majaribuni wengi wetu lol!
Naombeni ushauri jinsi ya kupunguza mapenzi yangu kwa huyu Kimwana JF HAKYANANI
Mkuu Platozoom, sio weye tu huyu ntoto amitukamata wengi yakhee. Yani wapata ugonjwa hivi hivi waona kwa kunkosa huyu mwana,masaa 6 mmengi atii.
Can someone do a rollcall ili tujue kama sote tu wazima na hakuna alopata hata attack baada ya haya masaa ya ukwasi.m
Mimi naanza,kama upo shout out kwa kusema ''leo na jana''; Mtambuzi? AshaDii? Boflo? Mwali? MwaJ?Watu8?ArushaOne?
ha haaaaaaaaa, yaani umenichekeshaje Kongosho!ha ha ha ha
siku hizi wala sisemi ni wa jf
nasimulia tu, kuna mbabu mmoja anaitwa DC ana busara.
Au kuna mbabu ODM anakagua huyo.
Yaani nshajifanya ni majirani zangu.
Siwezi sema jf wataniuliza ID yangu afu niumbuke bure.
Kwangu me naona zaidi ya limbwata maana nilikosa raha mchana kutwa!
Ndio maana nahisi wameweka kakoein kwenye server hakyanani