nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,904
Very true.
TAbia ya mtu hapa jukwaani na uhalisia wake viweza kuwa mbingu na dunia. Kwenye comments nyingi, you can read between the lines kuwa ni utani au hamna uhalisia. Nina uhakika kuna mabinti/wanawake humu unawewza kudhani ni mafyatu lakini najua kwenye hali halisi sivyo walivyo. Hiyo pia ni kweli kwa sisi wanaume. Mtu anaweza kujenga picha ya gentleman kumbe ni kibaka tu.
Tena vibaka wako wengi sana