Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

Very true.

TAbia ya mtu hapa jukwaani na uhalisia wake viweza kuwa mbingu na dunia. Kwenye comments nyingi, you can read between the lines kuwa ni utani au hamna uhalisia. Nina uhakika kuna mabinti/wanawake humu unawewza kudhani ni mafyatu lakini najua kwenye hali halisi sivyo walivyo. Hiyo pia ni kweli kwa sisi wanaume. Mtu anaweza kujenga picha ya gentleman kumbe ni kibaka tu.

Tena vibaka wako wengi sana
 
Kila mwanaume ana mapungufu yake,atawaacha wangapi?mwisho wa siku ataachika kwa kudai mwanaume anapenda kugegeda kila muda na kila siku

If you know so. . . Kila mwanamke ana mapungufu yake pia. . . . wataachwa wangapi kwa mapungufu??!!
Hayo mengine waachie wao wagegedwaji as you and I have no experience. . . .do you????
 
wanawake wa jf tunatoka sayari ya mars usijali hautakutana nao duniani ... we tuache tusanuke

Je hawa tunaowasiliana nao kwa PM na tunaonana na kupendana wakati wana familia,labda wewe ndo uko Mars
 
Hakuna mke hapa JF,hapa utapata aliyezalishwa,aliyepewa talaka au aliyetelekezwa pia umri zaidi ya 30yrs,labda kama hata mwanaume unafanana na matukio haya,Jf ni used spares sio wife materials

Hopeless idiot!
Don't insult people just describe them!
 
Wengi wenu hamtaki kukosolewa...(kitabia)..mkikokosolewa tu mnajib vijibu vya ajab ajab sijui ni kwa nini et...

sometimes na nyie mnatumia maneno mabaya we can't stand.
halafu wengi mnadhan wanawake wote hum tunataka mapenzi mnasahau ndio sisi sisi tupo wote maofisin tunapokea mshahara unalingana.
 
Hopeless idiot!
Don't insult people just describe them!

I think your the one,,stand up>start new life style,utakuwa ulineng'eneka mtumiaji akatumia vibaya na kukuachia majuto ni mjukuu
 
Hahahaaaaaaa!! Yaani huyu ex wangu sijui siku hizi ana stress gani!! We angalia tu aina za thread anazoanzisha kokote kule utagundua tu there is something wrong, amechakaaa hatari, we Viol kuwajibu tutawajibu tu, aina yenyewe ya wanaume ndio wewe alafu unategemea majibu ya aina gani?? Unapewa majibu kulingana na akili yako, hata mtoto hufundishwa kulingana na uwezo wake wa akili, cute b uko wapi jamani? Hebu njoo umfanyie dogo councelling.

Hahahaaa atakuwa anataka mapenz ya tamthilia.
 
Last edited by a moderator:
If you know so. . . Kila mwanamke ana mapungufu yake pia. . . . wataachwa wangapi kwa mapungufu??!!
Hayo mengine waachie wao wagegedwaji as you and I have no experience. . . .do you????

Somehow your right,but no childrens before marriage,failure to live with several kinds of mens it means always your going to prove failure,yanakuhusu
 
Hivi mwanaume mwenye akili timamu unatafuta mke jf.labda uwe domo zege

Hayuko vizuri. Tukiwa darasa la sita tulifundishwa maeneo ambayo wachumba wanapatikana na ambayo sio mazuri kutafutia. JF haimo katika maeneo mazuri ya kupata wachumba. Na hata ikitokea basi ilipangwa kabisa na Mungu . Mbona wanaume wanao jibu hovyo pia wapo humu?.tumia akili wewe..Labda kama umesome english medium ila mbuyuni mwembeni kitanzini ..primary school na zinazofanana na hizo hufundisha hayo.
 
Somehow your right,but no childrens before marriage,failure to live with several kinds of mens it means always your going to prove failure,yanakuhusu
Never say never son. . . . . .some phenomena are real complicated
 
Hayuko vizuri. Tukiwa darasa la sita tulifundishwa maeneo ambayo wachumba wanapatikana na ambayo sio mazuri kutafutia. JF haimo katika maeneo mazuri ya kupata wachumba. Na hata ikitokea basi ilipangwa kabisa na Mungu . Mbona wanaume wanao jibu hovyo pia wapo humu?.tumia akili wewe..Labda kama umesome english medium ila mbuyuni mwembeni kitanzini ..primary school na zinazofanana na hizo hufundisha hayo.

Kama Mungu hupanga basi hukuwa na haja ya kutaja sehemu na mengineyo. . . . . .
 
Kwani JF si "meeting point" tu kama ilivyo popote au??!!!

Unaweza anzia hapa na ukafika safari yako bila shida na unaweza mkuta kanisani au msikitini kumbe ndio hiyo siku alienda kutubu tu ukajikaanga fasta. . . .

hawa wanao complain yamewakuta na ushamba wao ndio umewaponza.
ዘow do u start proposing someone u don't know in the name of marriage?.
yee nyanya we kitunguu mmekutana kwenye sufuria! Hao tu mnaotongozana live mnashindwana hamuwezani sembuse wa kukutana huku?
 
Hivi mtu akiwa na watoto anakuwa sio wife material??!!
Mtu akiachika anakuwa sio wife material??!?
Mlipokutana Buguruni mliongea nini badala ya kufahamiana kwa mambo ya msingi??!!

Ulichagua fungu naye akakupa nyongeza mteja wake. . . . .

Ha ha ha nimeipenda hii
 
Back
Top Bottom