Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

na mimi nishakuona we ni wife material kwa hii comment
Kiongozi, anzia hapo..au unataka gunia la misumari tukubebeshe..
Ну ты что! Вот девушка, давай не стисняйтесь!!
 
Kiongozi, anzia hapo..au unataka gunia la misumari tukubebeshe..
Ну ты что! Вот девушка, давай не стисняйтесь!!
ngoja niingie kwenye maombi ila naona ndo yeye
 
huo msemo wa kuamka na BBC nimeupenda

Hauwafai wazinzi na waasherati.....chimba maji ya kisima chako mwenyewe. .......asubuhi ujisikiapo kumsikia Salim Kikeke na wengineo kwa raha zako au kama vipi mnapata Morning Glory kila mtu anaenda kazini amejaa upako wa hali ya juu.
 
Asubuh hatukuamka na BBC mpaka useme hivyo?Jana usiku Hukupata chakula kwani? Ohhhh!!! Kumbe hutosheki eeeh mpka na ya atoto pia .......mhhh!!! Kumbuka kuosha mwiko wangu tu.

Hahahaaaaa!! Mie tu ndio nilikuwa namtosheleza, enzi zangu hakuhangaika ujue!!
 
Last edited by a moderator:
Hauwafai wazinzi na waasherati.....chimba maji ya kisima chako mwenyewe. .......asubuhi ujisikiapo kumsikia Salim Kikeke na wengineo kwa raha zako au kama vipi mnapata Morning Glory kila mtu anaenda kazini amejaa upako wa hali ya juu.
hapo lazima mambo yaende sawa mtu unakuwa mwepesi mno
 
Duu waifu matirio tena,,sijui kwa vigezo vya aina gani,nitakaye mpata ndio atakuwa na jibu sahihi
 
Hauwafai wazinzi na waasherati.....chimba maji ya kisima chako mwenyewe. .......asubuhi ujisikiapo kumsikia Salim Kikeke na wengineo kwa raha zako au kama vipi mnapata Morning Glory kila mtu anaenda kazini amejaa upako wa hali ya juu.
Kabisa, huo ni mahsusi kwa ajili ya watu kama sisi...kisima changu, maji yangu...nakunywa kila nipatapo kiu..
..wazinzi na waasherati hawana chao!!
 
Kwa hiyo sasa hivi haunipendi eeeh!Haujui nimejisikia vibaya?Haya hebu niambie kuna nini mdogo wangu

We tokea unichimbe biti yaani sina hamu na wewe kabisa!!
Yaani mie hata naona huruma kwakweli, huyu mtoto sijui ana shida gani, eti wewe sio wife material?
 
Hauwafai wazinzi na waasherati.....chimba maji ya kisima chako mwenyewe. .......asubuhi ujisikiapo kumsikia Salim Kikeke na wengineo kwa raha zako au kama vipi mnapata Morning Glory kila mtu anaenda kazini amejaa upako wa hali ya juu.
halafu mechi inaendelea man city na real madrid sijui unafuatilia
 
Back
Top Bottom