Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Ngoja tunasubiri Eli79 atuambie.....ila naona kama vile kesi ya nyani nimepeleka kwa ngedere
Hahahaha mie ni mshauri mzuri sana atiii hebu niambie ni nini mbaya
Last edited by a moderator:
Ngoja tunasubiri Eli79 atuambie.....ila naona kama vile kesi ya nyani nimepeleka kwa ngedere
Every woman is WIFE material Mkuu... it depend which material you need.
Yote haya bado,na umri nina 27yrs hata ukitaka tuonane utaamini,nipo DSM,ukiona sio uje uanike hapa Jf
Every woman is WIFE material Mkuu... it depend which material you need.
Kiongozi, anzia hapo..au unataka gunia la misumari tukubebeshe..na mimi nishakuona we ni wife material kwa hii comment
ngoja niingie kwenye maombi ila naona ndo yeyeKiongozi, anzia hapo..au unataka gunia la misumari tukubebeshe..
Ну ты что! Вот девушка, давай не стисняйтесь!!
huo msemo wa kuamka na BBC nimeupenda
Asubuh hatukuamka na BBC mpaka useme hivyo?Jana usiku Hukupata chakula kwani? Ohhhh!!! Kumbe hutosheki eeeh mpka na ya atoto pia .......mhhh!!! Kumbuka kuosha mwiko wangu tu.
Hahahaha mie ni mshauri mzuri sana atiii hebu niambie ni nini mbaya
hapo lazima mambo yaende sawa mtu unakuwa mwepesi mnoHauwafai wazinzi na waasherati.....chimba maji ya kisima chako mwenyewe. .......asubuhi ujisikiapo kumsikia Salim Kikeke na wengineo kwa raha zako au kama vipi mnapata Morning Glory kila mtu anaenda kazini amejaa upako wa hali ya juu.
Hahahaaaaa!! Mie tu ndio nilikuwa namtosheleza, enzi zangu hakuhangaika ujue!!
Kabisa, huo ni mahsusi kwa ajili ya watu kama sisi...kisima changu, maji yangu...nakunywa kila nipatapo kiu..Hauwafai wazinzi na waasherati.....chimba maji ya kisima chako mwenyewe. .......asubuhi ujisikiapo kumsikia Salim Kikeke na wengineo kwa raha zako au kama vipi mnapata Morning Glory kila mtu anaenda kazini amejaa upako wa hali ya juu.
Kwa hiyo sasa hivi haunipendi eeeh!Haujui nimejisikia vibaya?Haya hebu niambie kuna nini mdogo wangu
halafu mechi inaendelea man city na real madrid sijui unafuatiliaHauwafai wazinzi na waasherati.....chimba maji ya kisima chako mwenyewe. .......asubuhi ujisikiapo kumsikia Salim Kikeke na wengineo kwa raha zako au kama vipi mnapata Morning Glory kila mtu anaenda kazini amejaa upako wa hali ya juu.