Hivi JF kuna wife material kweli?

Hivi JF kuna wife material kweli?

hawa wanao complain yamewakuta na ushamba wao ndio umewaponza.
ዘow do u start proposing someone u don't know in the name of marriage?.
yee nyanya we kitunguu mmekutana kwenye sufuria! Hao tu mnaotongozana live mnashindwana hamuwezani sembuse wa kukutana huku?

Haina formula hii kitu. . . . mkikutana mkaamua kila mmoja ajirekebishe mtaweza ila kila mtu akikomaa na "mi ndio nilivyo". . . . . hata mkienda kuishi mbinguni itachanika tu
 
Somehow your right,but no childrens before marriage,failure to live with several kinds of mens it means always your going to prove failure,yanakuhusu

you are....
children...
men...
 
Waliotangulia wameshindwa utaweza,labda kumzalisha mtoto mwingine,pia ujue mabinti huzalishwa kwa kiherehere chao na kutojitambua,,tena ujue hawezi kuwaacha waliozalisha

Mbona mnaiweka kama mwanamke tuu ndio anakuwa na tatizo linalopelekea kuachika? mnasahau mahusiano ni pande mbili? wee unaweza ukanishinda tabia mi nikaona isiwe tabu tuachane! Be fair with that kuna wanaume wengi VIAZI tunawaona hawana hata chembe ya sifa ya kuwa mume hawawezi hata kujiongoza wao wenyewe! Hizo familia zao zinaongozwa kwa neema ya Mungu tu!
 
Nothing>how complicated,this depend on mental ability of the one who believe like you

Mmmmmmmhhh i thought at the beggining you said its difficult to tell wheter some one is real or a pretender. . . .You kept insisting at Buguruni you went head on blind folded and you ended up being a fooll. . . . I thought from those premises you were amplifying the complications. . . .and hazzy nature of the whole phenomena. . .

You are damn rite. . . .Some people fails to separate mental ability and belief. . . . . Like you
 
I think your the one,,stand up>start new life style,utakuwa ulineng'eneka mtumiaji akatumia vibaya na kukuachia majuto ni mjukuu

Ha ha ha! i enjoy learning from a fool so that i don't become a fool.
 
Mbona mnaiweka kama mwanamke tuu ndio anakuwa na tatizo linalopelekea kuachika? mnasahau mahusiano ni pande mbili? wee unaweza ukanishinda tabia mi nikaona isiwe tabu tuachane! Be fair with that kuna wanaume wengi VIAZI tunawaona hawana hata chembe ya sifa ya kuwa mume hawawezi hata kujiongoza wao wenyewe! Hizo familia zao zinaongozwa kwa neema ya Mungu tu!

Mmmmh!! Hao unaopoteza nguvu zako kuwaeleza hayo ni akina nani labda!! Hawa hawa au wale wa mars!! We umesahau kuwa wanaume wote humu jf ni malaika, tena hawana shida yoyote!! Teh teh teh mbafu sangu.
 
hivi ni lini wanaume mtaacha kuwaandama wanawake? hamkai hata ck 1 mjadili namna yakuishi na wanawake kwa upendo!! nikulalamika tuuuuuu, yawezekana maswali mnayouliza majibu mabaya ndio majibu yake sahihi. hivyo hakuna namna lazima yajibiwe hivyo.

kila mara kulalamikia upande mmoja ni dalili mbaya sana sipendagi aisee hamna jinsia inayofanya mabaya tuuu hamna mazur impossible lets talk this authentically wakuuu
 
Mmmmh!! Hao unaopoteza nguvu zako kuwaeleza hayo ni akina nani labda!! Hawa hawa au wale wa mars!! We umesahau kuwa wanaume wote humu jf ni malaika, tena hawana shida yoyote!! Teh teh teh mbafu sangu.

ha ha ha kweli lakini hata shetani akizeeka anakuwa malaika!
 
hivi ni lini wanaume mtaacha kuwaandama wanawake? hamkai hata ck 1 mjadili namna yakuishi na wanawake kwa upendo!! nikulalamika tuuuuuu, yawezekana maswali mnayouliza majibu mabaya ndio majibu yake sahihi. hivyo hakuna namna lazima yajibiwe hivyo.

kila mara kulalamikia upande mmoja ni dalili mbaya sana sipendagi aisee hamna jinsia inayofanya mabaya tuuu hamna mazur impossible lets talk this authentically wakuuu

Pole sana mzazi
 
Back
Top Bottom