Hahhahaha! !!!! Soma tu mwaya ex shem ameamua kutulipua......mpunguze Majibu makali muwe wife materials. ....lol
Hunters "hatuna" lebo ujue yaani hapa tu kwa mnyumbuliko wa mawazo mtu anaweza ona indicators za hao wanaoitwa wife material. . . . .Labda. . . . Au hao wasiochukuliwa kama wife materials. . . . .lakini anaweza fundishika na akawa poa sana tuhaa brothers mshaanza ivooo! we are not hunting bana! kila kibaka ana police wake nje ya jukwaa! hawa wanaokamatana humu zingine zina work! zingine ndio majanga type mnaishia kulalamika kama namna hii.
Hakuna mke hapa JF,hapa utapata aliyezalishwa,aliyepewa talaka au aliyetelekezwa pia umri zaidi ya 30yrs,labda kama hata mwanaume unafanana na matukio haya,Jf ni used spares sio wife materials
ha ha ha! umenifanya nicheke! husband material? unajua hata mimi nahisi humu hakuna husband materials huku kuna Gusa gusa sound! mniwie radhi kama mpooo!
Hivi mwanaume mwenye akili timamu unatafuta mke jf.labda uwe domo zege
Eeeh 😕😕 mbona sipo katika hio list...hiii ni kwa utafiti wako au hisia mkuu
Huwezi kutambua kuwa ana watoto.au ameachika hadi ukiwa nae kwa muda mrefu,kuna mmoja tulikubaliana kuonana Buguruni,nikaona nimepata mrembo na haonyeshi kuwa ni used spare,sasa siku1 nilimpigia simu usiku nikasikia mtoto analia,akanijibu mtoto wangu anaumwa,nikauliza kwani una mtoto,akajibu nina watoto wawili na huyu anayelia ana miezi8,nilichoka na wanawake wa Jf
Asilimia kubwa ya mabinti humu JF hawafai kuolewa,wana majibu mabaya mno yaani ukipata mke JF lazima awe bomu tu,kwenye thread tu wanavyoreply kama waliokata tamaa au wanakomoa wanaume,wachache sana nadhani,ila asilimia kubwa bhana hamna kitu...Ukiona mrembo anajibu vibaya humu ujue hata live kachoka kabisa kakata tamaa anakuja kutukana wanaume humu.
UKIPATA MKE JF LAZIMA UJE KULALAMIKA JF.
Hivi ktu akiwa na watoto anakuwa sio wife material??!!
Mtu akiachika anakuwa sio wife material??!?
Mlipokutana Buguruni mliongea nini badala ya kufahamiana kwa mambo ya msingi??!!
Ulichagua fungu naye akakupa nyongeza mteja wake. . . . .
Hivi dadako akiolewa na mtu mlevi mbwa, mnyanyasaji,anampiga, anamtukana yeye mpaka wazazi wako, hatunzi mke wala watoto utamuambia avumilie kisa akimuacha huyo mjjinga atakuwa sio wife material sababu kazaa naye??!!Waliotangulia wameshindwa utaweza,labda kumzalisha mtoto mwingine,pia ujue mabinti huzalishwa kwa kiherehere chao na kutojitambua,,tena ujue hawezi kuwaacha waliozalisha
"great thinker's" usisahau hilo..kila mtu humu mjuaji
Umenogewa? Like Tuu Hamna Tatizo.
Mbona Povu Jingi Leo Umetendwa Nini.?
Hivi dadako akiolewa na mtu mlevi mbwa, mnyanyasaji,anampiga, anamtukana yeye mpaka wazazi wako, hatunzi mke wala watoto utamuambia avumilie kisa akimuacha huyo mjjinga atakuwa sio wife material sababu kazaa naye??!!
Uwe Unapenda kuchangia Kwenye Jukwaa La Biashara
kujibu vibaya kivipi??
wengine tunaingia JF kubishana na watetea la mfumo dume. its a way to get the word out and change things. sasa kama mtu atatafsiri kuwa ni "nimekata tamaa"........whatever makes you feel better about yourself.
bila kusahau wengine wapole wapole hujui ndo wako mawindoni?? alete stress zake online akose mume? hahaaa