Pole sana kwa problem iliyokupata, Mimi nipo kwenye the same situation maana wa kwangu yeye ameona nampenda sana mpaka ananionyesha attitude mbaya sana hata nimwambie kitu hanisikilizi, hanielewi kabisa yaani anachukulia kitu kawaida, kwa vile na wasiliana na family yake vitu kama hivyo, so nateseka now na tuliplan soon tuwe mke na mume ila nimeshagundua mapema so nimeongea nae tabia yako sipendi haelewi, na ilikuwa mimi ndio wa kumtafuta kila siku ila nilichofanya ni kitu simple tu, nimepata mwanamke mwingine mzuri sana kumzidi na ananisikiliza na na jifeel nipo kwenye relationship so mkuu hawa wanawake wakitendwa sisi ndio tunaonekana tuna makosa na wakipendwa wanachukua advantage so piga chini tafuta mwingine, kama nilivyofanya wala usilembe kaka..why uwe na stress wakati wapo wengi sana