Hivi jamani kwanini wanawake hamna mapenzi ya kweli?

Hivi jamani kwanini wanawake hamna mapenzi ya kweli?

Mwanangu sepa tupa kule ukuzaliwa nae huyo dnt feel sorry 4her! Wanawake wapo wengi na tabia mbalimbali muhimu uvumilivu na subra utampata wa kweli na mwaminifu.kumbuka mwanaume auwezi kukosa mke ni vipaumbele vyako tu vitakukosesha.ila wao .....
 
Mwanangu sepa tupa kule ukuzaliwa nae huyo dnt feel sorry 4her! Wanawake wapo wengi na tabia mbalimbali muhimu uvumilivu na subra utampata wa kweli na mwaminifu.kumbuka mwanaume auwezi kukosa mke ni vipaumbele vyako tu vitakukosesha.ila wao .....

Nashukuru sana kwa ushauri wako wa Busara babu. Be blessed
 
mapenzi ni ishu complex sana..kakubali umwache?njia uliyochagua si mbaya hila itakuuma balaa.be strong na mvumilivu.
 
mapenzi ni ishu complex sana..kakubali umwache?njia uliyochagua si mbaya hila itakuuma balaa.be strong na mvumilivu.

Sio itaniumiza. tayari imeshaniumiza na bado inaendelea kuniumiza ila navumilia tu
 
usiseme wanaume hatuna mapenzi ya kweli nasi tutasema wanawake hamna mapenzi ya kweli. kama unahisi uliyenae hana mapenzi ya kweli, pia wapo wanaume wenye wanawake wasio na mapenzi ya kweli.
 
kwani wanamme wote wana mapenzi ya kweli?

Wahenga walisema'kwenye msafara wa mamba na kenge wako'

Tafakari, chukua hatua, haki mapenziiiii!
Mapenzi bwana........................... na uzee huu bado yananichanganya...................... na bora yaendelee kunichanganya hivyo hivyo, sitaki presha ya kuyaelewa
 
kumbe ndo maana umetafuta sababu? si ungeyaanzisha tu! anyway, all the best kwa hayo mahusiano mapya

You are so funny you know. Kwa hiyo kwa kuwa nimeachana naye ndio siruhusiwi kuanzisha uhusiano mpya???
 
Back
Top Bottom