Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #101
unahisi kwanini wanawake hawana mapenzi ya kweli?
hawana mapenzi ya kweli kwa sababu hata wapendweje huwa hawaridhiki
unahisi kwanini wanawake hawana mapenzi ya kweli?
pole sana inauma ila kaza moyo konde wanawake wapo chungu nzimaa2
Vua gamba chali yangu .
lolz yan amegeneralize had kero yan mmh.Kwanza kaka,POLE..2nd,ungeandika baadhi kwenye heading yako,not all women are like what you have experienced..
Kwanza kaka,POLE..2nd,ungeandika baadhi kwenye heading yako,not all women are like what you have experienced..
Nimesema wote kwa sababu sio mara ya kwanza jambo hili kunitokea
lolz yan amegeneralize had kero yan mmh.
sio woote mkuu, ila pole sana sana dats life.
Bado haijakupa the right ya kugeneralize...as much as we are trying to feel your pain,dont put all of us in the same group..hata kama umekutana na 100,we r billions!.
Sawa mama nimekuelewa. Am sorry. Ni hasira tu. next time sitorudia tena. AM sorry
usijali kaka,naelewa..ndo maana nikakupa pole kwanza..smile,and may God get you out of what you are going through!
why don you flirt with ya lover its a shame bana.....kaa ukijua hivyo imagine one of those people unao flirt nao accedentally kumbe ni friend angu pasipo we kujua siku moja ananisimulia ...oooh kuna demu fulani na flirt nae kwa fb daaah anajua huyo....alafu anakutaja jina kumbe ni demu wa mwana wake...is it sounding goog????utadhahaurika kwa mtu wako na kwa rafiki zake pia ambao ni shemeji zako....funguka chukua hatua usitetete mambo ya kipuuzi
Sio chumvini tu, yaani hadi mengine naona aibu kusema.
kama ni zaidi ya hiyo basi itakuwa ni kulamba t*iGo teh teh teh
Yaani kuliko hata hiyo mkuu
Umejitakia mwenyewe kaka, kwanini uhack account ya mwenzio huoini kama unamwingilia kwenye privacy zake.
Umejitakia mwenyewe kaka, kwanini uhack account ya mwenzio huoini kama unamwingilia kwenye privacy zake.