Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Ni mjinga pekee ndo hulipa ubaya kwa ubaya.Huwezi kumfumania mkeo halafu ukaamua kulipiza kwa kutembea na mwanamke mwingine,unajimaliza mwenyewe kama pweza anayekumbatia makaa ya moto.kwani wanamme wote wana mapenzi ya kweli?
Wahenga walisema'kwenye msafara wa mamba na kenge wako'
Tafakari, chukua hatua, haki mapenziiiii!