MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Wapenzi hamjamboni?
Hivi inakuwaje jamani hata tukakumbuka yale tuloyatapika, tena watapika huku umeziba pua kwa kinyaa, ilihali matapishi hayo yatokea ndani yako????
Nawaza tu kwa sauti.........mwe haya mapenzi ni kizungumkuti kwa kweli!!
Weekend hii nimekutana na wimbo wa taarabu wenye ujumbe huu.......
Lilokushinda kulila bora silitie hilaaaa!!! ..................
Kama ulisusa. basi mwenzio ala......................X 2
Nilikuwa wako, ukashinda kunitunza,
nimempata mwenzako namliwaza X2
Sio siri anafaidi tena nampa raha halisi X2
Beti ya Kwanza
Ulinidharau ukaniona, si wa maana kwa uwezo wako;
Ukasahau wazuri wako wengi sana wa zaidi yako X2
Nimempata muungwana anayenijali mie,
mapenzi yake dhamana twaheshimiana sie X 2
Nilichosahau sina, sitorudi kwako wewe
Usipite kutukana umeyatupa mwenyewe X2
Chorus: Maneno ya mkosaji, ya mkosajii, Hayanikoseshi raha ya kunywa majiX 2
Niko naye mpenzi yeye amenisitiri, yeye amenisitiri kwa mapenzi motomoto
Sitaki mwingine, yeye ananipa vitu kikubwa si vya kitoto
Choyo,wivu usione umeitupa bahati, umeitupa bahati tena usitutie joto!
Beti ya Pili
Ulisema wa ninni mwenzio kaniweka ndani namliwaza
Wangu mwandani anajua penzi nini ananidekeza X2
Kama wewe ulisusa, albabu anakula
Ndo mana natajasa nafaidi kwa muala X 2
Anayajulia hasa kwa mapenzi mashaala
hubaze zaningarisha nami simtupi wala X 2
Chorus: Maneno ya mkosaji, Hayanikoseshi raha za jiji..........................
Beti ya Tatu:
Usisikitike ameniwezesha yeye niwe na mvuto
Usimahanike ukiniona niko naye hatutaki joto X2
Usininange mshirika yalopita yamepita
hukuweza kuniweka matunzo X 2
Kwa huyu nathaminika ndo kaona natakata
kupeana vya baraka, kwetu hakuna matata X2
Chorus.......Maneno ya mkosaji, hayanikoseshi raha kufaidi...X 2
Hivi inakuwaje hasa, maana ulilitema mwenyewe then after a while anataka tena?? Nini hasa kiloongezeka?
Hivi inakuwaje jamani hata tukakumbuka yale tuloyatapika, tena watapika huku umeziba pua kwa kinyaa, ilihali matapishi hayo yatokea ndani yako????
Nawaza tu kwa sauti.........mwe haya mapenzi ni kizungumkuti kwa kweli!!
Weekend hii nimekutana na wimbo wa taarabu wenye ujumbe huu.......
Lilokushinda kulila bora silitie hilaaaa!!! ..................
Kama ulisusa. basi mwenzio ala......................X 2
Nilikuwa wako, ukashinda kunitunza,
nimempata mwenzako namliwaza X2
Sio siri anafaidi tena nampa raha halisi X2
Beti ya Kwanza
Ulinidharau ukaniona, si wa maana kwa uwezo wako;
Ukasahau wazuri wako wengi sana wa zaidi yako X2
Nimempata muungwana anayenijali mie,
mapenzi yake dhamana twaheshimiana sie X 2
Nilichosahau sina, sitorudi kwako wewe
Usipite kutukana umeyatupa mwenyewe X2
Chorus: Maneno ya mkosaji, ya mkosajii, Hayanikoseshi raha ya kunywa majiX 2
Niko naye mpenzi yeye amenisitiri, yeye amenisitiri kwa mapenzi motomoto
Sitaki mwingine, yeye ananipa vitu kikubwa si vya kitoto
Choyo,wivu usione umeitupa bahati, umeitupa bahati tena usitutie joto!
Beti ya Pili
Ulisema wa ninni mwenzio kaniweka ndani namliwaza
Wangu mwandani anajua penzi nini ananidekeza X2
Kama wewe ulisusa, albabu anakula
Ndo mana natajasa nafaidi kwa muala X 2
Anayajulia hasa kwa mapenzi mashaala
hubaze zaningarisha nami simtupi wala X 2
Chorus: Maneno ya mkosaji, Hayanikoseshi raha za jiji..........................
Beti ya Tatu:
Usisikitike ameniwezesha yeye niwe na mvuto
Usimahanike ukiniona niko naye hatutaki joto X2
Usininange mshirika yalopita yamepita
hukuweza kuniweka matunzo X 2
Kwa huyu nathaminika ndo kaona natakata
kupeana vya baraka, kwetu hakuna matata X2
Chorus.......Maneno ya mkosaji, hayanikoseshi raha kufaidi...X 2
Hivi inakuwaje hasa, maana ulilitema mwenyewe then after a while anataka tena?? Nini hasa kiloongezeka?