Hivi inakuwaje hujawahi kupanda ndege?

sioni faida ya kujadili
Inasaidia nini kupanda au kutokupanda ndege
Kwani kupanda ndege ndo mafanikio au vipi
na ukipanda imekusaidia kuongeza nini maishani mwako
Au usipopanda imekuongezea au kukupunguzia nini mmaishani mwako

karibu tusker baridi mkuu baada ya kuongea point nzito...
 
Mamboz zenu waungwana,natumai hamjambo na mnajiandaa na mishemishe za mitoko ya Ijumaa.
Binafsi huwa najiuliza: Hivi ni kwanini mtu mpaka anakufa au anakuwa mkubwa wa miaka 69 lakini bado hajawahi kupanda ndege? :A S embarassed:

Tuambie wewe umepanda ndege mara ngapi maana nina wasiwasi usije ukawa unapanda ungo ukadhani ni ndege
 
karibu tusker baridi mkuu baada ya kuongea point nzito...

Asante sana mkuu
Yaani utoto full
Unakumbuka enzi unarudi home unamtambia mtoto mwenzako kuwa umepanda gari
Sasa ndo hii amepanda ndege kwa mara ya kwanza anakuja kushangaa watu hapa kuwa hawajawahi kupanda ndege
duh na anategemea watu wajadili na kumsupport
 
Safari zake zote zinaendeka kwa gari na usafiri mngine. Usiendekeze sana mambo ya ndege, ni carbon footprint mbaya sana.
Tuombe Mungu siku moja tuwe tunaenda hata ulaya kwa TGV!
 
kweli mkuu. mi mwenyewe hapa sijawahi panda ndege wala treni. hii thread imegusa maisha yangu. safi sana. hivi kweli inakuaje mtu unamaliza masomo ya secondary na chuo bila kupanda ndege? kuna ile kampuni ya ndege inapunguzaga bei kipindi cha valentine ngoja niwavizie. hivi zanzibar kuna kumbi za disco? nataka valentine nipande ndege niende zangu kucheza disco zenji, kesho yake nirudi tena na ndege ili hii thread yako ikose maana kwangu. Mia
 
Wewe kupandishwa ndege kupelekwa mirembe imekuwa nongwa.
OTIS
 
Mkwe, ongea inglishi!kupanda na kumpanda simba ni vitu vinne tofauti

kosa la baba hajanipeleka intaneshno skul mkwe. Kiinglishi iz not richabo.
Tatizo kiswahili kimepanuka sana. Neno lina maana nne! Khaa.
 
sioni faida ya kujadili
Inasaidia nini kupanda au kutokupanda ndege
Kwani kupanda ndege ndo mafanikio au vipi
na ukipanda imekusaidia kuongeza nini maishani mwako
Au usipopanda imekuongezea au kukupunguzia nini mmaishani mwako

mbona umeshachangia teyari ndugu yangu?
 
sioni faida ya kujadili
Inasaidia nini kupanda au kutokupanda ndege
Kwani kupanda ndege ndo mafanikio au vipi
na ukipanda imekusaidia kuongeza nini maishani mwako
Au usipopanda imekuongezea au kukupunguzia nini mmaishani mwako

Wasiowai kupanda utawajua tuu...!!
 
Back
Top Bottom