Nimekutana nayo jana hii nilipomsindikiza jamaa kumsalimia mama wa mwanamke aliyezaa naye. Jamaa lina miaka 56 halafu binti aliyemzalisha ana miaka 24 na mama wa binti ana miaka 49, Mtoto wao sasa ana miaka mitatu.
Changamoto niliyoikuta ni kwenye salamu, binti hakumpa jamaa shikamoo lakini Mama akampa jamaa shikamoo
Changamoto niliyoikuta ni kwenye salamu, binti hakumpa jamaa shikamoo lakini Mama akampa jamaa shikamoo