Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 9,342
- 25,715
ANa id nyingi sana hata humu ndani ni id zake naziona. Huyu jamaa ana sonona sana
mshamba_hachekwi
mshamba_hachekwi
Kashavunja wangapiSlow down na wewe 🤣🤣🤣
Utavunjwa kiuno shauri zako.
Upo mchumba?Mtu ndani ya lisaa anakupa dislike 🤮😡 300, hata kama ningekuta ni like ningechukulia ni usumbufu.
Sema kwa watu wote wa like akina raraa reree , leo dada , min -me sijawahi kuona wanafanya ujinga huo!
😹😹😹 Mwanao sana ndiomana anakuzingua na zile nyuzi zako anazozifukua ananichekeshaga..!!anapita ma dislike kwenye nyuzi zangu kila siku bado ananiandama sana huyu jamaa
Ila tuache masikhara ni mwanangu sana
😹😹😹 Kwa ulivyo nimeshangaa kuona umepandisha uzi kisa dislike za Penseli..Nilie nini sasa halafu mimi ni mwanaume sio mtoto wa kiume. Hebu na wewe slow down basi
😹😹😹 Lakini hizo hawalalamiki na kwa maelezo yake kwake hazina shida lakini dislike ndo hataki..!!Hata likes zikiwa hazina mpangilio zinaboa tu. Huwezi kulike kila comment bila sababu za msingu, nayo ni matumizi mabaya ya huzo reactions tu. Unakutana na notifs za likes kwa mtu mmoja zinafik 50, ujinga tu.
Nilifuta karibia nyuzi zote nyingi hazipo tena😹😹😹 Mwanao sana ndiomana anakuzingua na zile nyuzi zako anazozifukua ananichekeshaga..!!
Unafutaje mkuu?? Au wewe ni mod?Nilifuta karibia nyuzi zote nyingi hazipo tena
Oh nina mtandao kama jsmiiforums alikuwaga modi PSL na Mshamba hachekwiUnafutaje mkuu?? Au wewe ni mod?
wabongo wajinga wajinga sana wanakuwa vipaumbele vya vya kipumbuvapumbavukwamba dislike ndio changamoto, halafu reactions nyingine kama vile like ndio sio changamoto, right?
kuna mwingine hua anapita na like tu, huyo sio changamoto ila huyu wa dislike, right?🐒
inashangaza mno aise,wabongo wajinga wajinga sana wanakuwa vipaumbele vya vya kipumbuvapumbavu
mijitu inakosa usingizi kwa kwa kupigwa dislike, upuuzi mtupu
😹😹😹 Etiiii mlimpa umods psl na mshamba?!!Oh nina mtandao kama jsmiiforums alikuwaga modi PSL na Mshamba hachekwi
Baada ya kufukuzwa umod PSL na mshamba_hachekwi kujitoa tumeamua kufunga mtandao wetu
Sasa tumerudi JF
Kwanini sasa?Nilifuta karibia nyuzi zote nyingi hazipo tena
Ukiwa mod huwez ingia kwenye pm ya mtu😹😹😹 Etiiii mlimpa umods psl na mshamba?!!
Hao pm za watu zilipona kweli huko? 😹
Kweli watu tunatofautiana! Naona unaumia kichwa kwa kitu kidogo kama hiki.
Epuka magonjwa ya moyo
Hahaha alikuwa ananifanya nionekane fwalaKwanini sasa?
PoleniIla huyu Mwamba amezidi.
Anakupa Dislike hadi Unaweza ukadhan ana chuki binafsi.
kumbe ni namna yake ya kutafuta attention.
Imagine unafungua notification unakutana na dislikes 50 .
Aaaah Kama humjui huyu jamaa. Kisukari kinakupanda 😎😎😎😎
Mm sijawah kugumiana nae.Poleni