Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

Manyanza

Platinum Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
20,852
Reaction score
52,719
Wakuu!
Niliingia humu mida fulani nikakutana na uzi wa Dada yangu Binti wa zamani akihoji hizi notifications za 🤬🤮 inakuwaje ?

Na wadau wakamlenga moja kwa moja kwamba huyu Member wa kuitwa PSL god ndio kazi yake .

Sasa nawauliza wenzangu huyu Member ana tatizo gani ? Mpaka anakuwa anaweka hizi reactions kwa baadhi Members?

Nimeanzisha uzi baada ya kuingia muda huu nakutana na notifications nyingi sana za huyu PSL god . Hivi huyu mwenzetu mnamuelewa ?

Huu kwangu binafsi nauona ni uchafu tu wala sio compliment kwangu.

Uongozi wa JamiiForums naomba mjaribu kumuelewesha huyu Member anachokifanya hakipendezi na wala hakina maana yoyote.

IMG-20260912-WA0098.jpg
 
Wakuu!
Niliingia humu mida fulani nikakutana na uzi wa Dada yangu Binti wa zamani akihoji hizi notifications za 🤬🤮 inakuwaje ?

Na wadau wakamlenga moja kwa moja kwamba huyu Member wa kuitwa PSL god ndio kazi yake .

Sasa nawauliza wenzangu huyu Member ana tatizo gani ? Mpaka anakuwa anaweka hizi reactions kwa baadhi Members?

Nimeanzisha uzi baada ya kuingia muda huu nakutana na notifications nyingi sana za huyu PSL god . Hivi huyu mwenzetu mnamuelewa ?

Huu kwangu binafsi nauona ni uchafu tu wala sio compliment kwangu.

Uongozi wa JamiiForums naomba mjaribu kumuelewesha huyu Member anachokifanya hakipendezi na wala hakina maana yoyote.
Sidhani kama yuko timamu.

Platforms nyingi huwa zinakataza watu kuspam wengine na comments au reactions (haijalishi ni +ve au -ve), sijui inakuwaje humu inaruhusiwa!

Na kama hairuhusiwi Moderator mtupe muongozo.
 
Wakuu!
Niliingia humu mida fulani nikakutana na uzi wa Dada yangu Binti wa zamani akihoji hizi notifications za 🤬🤮 inakuwaje ?

Na wadau wakamlenga moja kwa moja kwamba huyu Member wa kuitwa PSL god ndio kazi yake .

Sasa nawauliza wenzangu huyu Member ana tatizo gani ? Mpaka anakuwa anaweka hizi reactions kwa baadhi Members?

Nimeanzisha uzi baada ya kuingia muda huu nakutana na notifications nyingi sana za huyu PSL god . Hivi huyu mwenzetu mnamuelewa ?

Huu kwangu binafsi nauona ni uchafu tu wala sio compliment kwangu.

Uongozi wa JamiiForums naomba mjaribu kumuelewesha huyu Member anachokifanya hakipendezi na wala hakina maana yoyote.

View attachment 3669325
Ni kweli kabisa na simtetei ila alimradi kitufe cha like na dislike kimewekwa basi kimewekwa kitumike

Binafsi hata wanaolike bila mpangilio wananikera unakuta notifications kibao unadhani kitu cha maana unakuta ni raraa reree au leo dada na likes zao kibao kama wanaangua maembe mimi nawapotezea tu hivyo nawewe mpotezee tu mkuu
 
Wakuu!
Niliingia humu mida fulani nikakutana na uzi wa Dada yangu Binti wa zamani akihoji hizi notifications za 🤬🤮 inakuwaje ?

Na wadau wakamlenga moja kwa moja kwamba huyu Member wa kuitwa PSL god ndio kazi yake .

Sasa nawauliza wenzangu huyu Member ana tatizo gani ? Mpaka anakuwa anaweka hizi reactions kwa baadhi Members?

Nimeanzisha uzi baada ya kuingia muda huu nakutana na notifications nyingi sana za huyu PSL god . Hivi huyu mwenzetu mnamuelewa ?

Huu kwangu binafsi nauona ni uchafu tu wala sio compliment kwangu.

Uongozi wa JamiiForums naomba mjaribu kumuelewesha huyu Member anachokifanya hakipendezi na wala hakina maana yoyote.

View attachment 3669325
kwamba dislike ndio changamoto, halafu reactions nyingine kama vile like ndio sio changamoto, right?

kuna mwingine hua anapita na like tu, huyo sio changamoto ila huyu wa dislike, right?🐒
 
Wakuu!
Niliingia humu mida fulani nikakutana na uzi wa Dada yangu Binti wa zamani akihoji hizi notifications za 🤬🤮 inakuwaje ?

Na wadau wakamlenga moja kwa moja kwamba huyu Member wa kuitwa PSL god ndio kazi yake .

Sasa nawauliza wenzangu huyu Member ana tatizo gani ? Mpaka anakuwa anaweka hizi reactions kwa baadhi Members?

Nimeanzisha uzi baada ya kuingia muda huu nakutana na notifications nyingi sana za huyu PSL god . Hivi huyu mwenzetu mnamuelewa ?

Huu kwangu binafsi nauona ni uchafu tu wala sio compliment kwangu.

Uongozi wa JamiiForums naomba mjaribu kumuelewesha huyu Member anachokifanya hakipendezi na wala hakina maana yoyote.

View attachment 3669325
Hana mshipa wa aibu anagawa dislikes hadi kwa platnum members
 
Ukipewa like mbona hauleti malalamiko? Hizo dislike zinakuathiri nini? Zingekuwa hazitakiwi, JF ingeziondoa.
Mtu ndani ya lisaa anakupa dislike 🤮😡 300, hata kama ningekuta ni like ningechukulia ni usumbufu.

Sema kwa watu wote wa like akina raraa reree , leo dada , min -me sijawahi kuona wanafanya ujinga huo!
 
Back
Top Bottom