Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

images
Anapigwa miti...
 
Wakuu!
Niliingia humu mida fulani nikakutana na uzi wa Dada yangu Binti wa zamani akihoji hizi notifications za 🤬🤮 inakuwaje ?

Na wadau wakamlenga moja kwa moja kwamba huyu Member wa kuitwa PSL god ndio kazi yake .

Sasa nawauliza wenzangu huyu Member ana tatizo gani ? Mpaka anakuwa anaweka hizi reactions kwa baadhi Members?

Nimeanzisha uzi baada ya kuingia muda huu nakutana na notifications nyingi sana za huyu PSL god . Hivi huyu mwenzetu mnamuelewa ?

Huu kwangu binafsi nauona ni uchafu tu wala sio compliment kwangu.

Uongozi wa JamiiForums naomba mjaribu kumuelewesha huyu Member anachokifanya hakipendezi na wala hakina maana yoyote.

View attachment 3669325
Ni shoga huyo ,Id yake ya zamani ilifungiwa kwa sababu ya ushoga akafungua hiyo
 
kwamba dislike ndio changamoto, halafu reactions nyingine kama vile like ndio sio changamoto, right?

kuna mwingine hua anapita na like tu, huyo sio changamoto ila huyu wa dislike, right?šŸ’
Wakumaind ungetakiwa uwe ni ww mzee wa lumumba nazani kwenye watu wanaongoza kwa dislike ni humu ni huyu mtu ila wala hapaniki
 
Wakumaind ungetakiwa uwe ni ww mzee wa lumumba nazani kwenye watu wanaongoza kwa dislike ni humu ni huyu mtu ila wala hapaniki
inashangaza mno aise,
why mtu upanic kwasababu ya maoni au mtazamo huru wa mtu mwingine hata kama ni tofauti na wako?

binafsi kwangu,
hayo hua naona ndio mawazo, fikra na maoni ya muhusika. Na hapo ndio uwezo wake wa fikra mpya na mawazo mbadala ulipoishia.

na mtu huyo ana haki na uhuru wa kutoa maoni yake kwa kuandika kwa maelezo kwa maneno, hata kama ni matusi, au anaweza kutumia emoji mbalimbali ambazo zimewekwa mahususi kwenye vifaa tunavyotumia, huku vikiwa vimebeba ujumbe mahususi wa mtazamo wa anaetumia emoji hiyo kwa mfano like and dislike šŸ’
 
Alichokitaka amefanikiwa, hivi mnavyompa attention na kumfungulia nyuzi ndo furaha yake…!!

Halafu Manyanza na wewe mbona ukikuta notifications za likes kutoka kwa raraa reree na leo dada hupandishi uzi wa malalamiko?? 😹😹😹

Mkipenda like msichukie na dislike..

Acha kulia kulia mtoto wa kiume
ok.šŸ’
 
Back
Top Bottom