Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

Wakuu!
Niliingia humu mida fulani nikakutana na uzi wa Dada yangu Binti wa zamani akihoji hizi notifications za 🤬🤮 inakuwaje ?

Na wadau wakamlenga moja kwa moja kwamba huyu Member wa kuitwa PSL god ndio kazi yake .

Sasa nawauliza wenzangu huyu Member ana tatizo gani ? Mpaka anakuwa anaweka hizi reactions kwa baadhi Members?

Nimeanzisha uzi baada ya kuingia muda huu nakutana na notifications nyingi sana za huyu PSL god . Hivi huyu mwenzetu mnamuelewa ?

Huu kwangu binafsi nauona ni uchafu tu wala sio compliment kwangu.

Uongozi wa JamiiForums naomba mjaribu kumuelewesha huyu Member anachokifanya hakipendezi na wala hakina maana yoyote.

View attachment 3669325
Mimi kaniwekea hizo reactions alizokuwekea Wewe 209. Nadhani aina ya Bangi anazovuta huwa anazichanganya na Kinyesi chake kilichotukuka kwa Kuoza vibaya sana.

Cc: PSL god
 
Back
Top Bottom