Dude lao
Member
- Dec 2, 2014
- 51
- 19
Jana mwanangu aliniuliza baba unalijua lile tangazo la airtel,nikamuuliza mwanagu ni lipi hilo,akasema lile linaanza na kijana anasema hili duka limejaa nitapata kila kitu,mangi anaitikia karibu kijana.
Kijana anauliza body spray,mangi anasema 15,000,feni mangi anajibu panga boy 50,000,kijana anasema Panga duu,na kisha anauliza na malapa je,mangi anasema 1000,kisha kijana anaomba jumla ngapi mangi anasema 65,500/=
Hapo ndipo mtoto wangu anashangaa badala ya jumla kuwa 66,000/=
Nisaidieni wana jamvi mtoto amuelewe Mangi na hesabu zake.
Kijana anauliza body spray,mangi anasema 15,000,feni mangi anajibu panga boy 50,000,kijana anasema Panga duu,na kisha anauliza na malapa je,mangi anasema 1000,kisha kijana anaomba jumla ngapi mangi anasema 65,500/=
Hapo ndipo mtoto wangu anashangaa badala ya jumla kuwa 66,000/=
Nisaidieni wana jamvi mtoto amuelewe Mangi na hesabu zake.