Fundi wa kijijni hapo atakuwa amejitahidi sana. Mlipe kama ana kudai halafu rudisha kwao kama jamaa wa mwenge walivyorudishwa. Kisha ajiri fundi wa mjini.Mkuu huyu fundi nimemtoa kijijini nikampeleka site akawa anakaa huko huko materials nikamwachia na hela ya kutumia siku naenda kukugua ndo nakuta hali hiyo!!
Kijijini ulikomtoa wanaweka tiles?Mkuu huyu fundi nimemtoa kijijini nikampeleka site akawa anakaa huko huko materials nikamwachia na hela ya kutumia siku naenda kukugua ndo nakuta hali hiyo!!
ha hahahaha ukute yupo karibia na mwishoni na pesa ya malipo anapiga simu unatuma ha hahahaaNatamani nimbebee sururu dadeki kanitia hasara sana
Mkuuu huon tiles zimegeuzwa juuu chini???Keyboard sio ya kupandisha picha tu pia inatumika kuandikia. Sasa kwa nini usiandike maneno machache kuelezea Hiyo picha? Ukiandika pia tueleze ulilipa mpunga kiasi gani kwani inawezekana kazi uliyotuonyesha inaendana na hela uliyolipa.
Mkuu ndugu yake na hyo fundi ndo kaniponza yaani aliniomba chondechonde nisimnyime hiyo kazi nikamuuliza vipi alishafanya tena hiyo kazi?? Ndugu yake akaniaminisha kuwa ndo fan yake sasa nimemwita kaniandikia materils nikaleta nimemkabithi hatimae siku naenda kukagua ndo nimekuta hivyoKwa nini ulienda chukua fundi kijijini wakati wa mjin wapo kibao tu????
Ulifata cheap lkn unajikuta umeingia gharama kubwa kuliko ulivotarajia!!!!
Pole xn mkuu