Hahaaa wabongo wanafosi vitu wasivyoviwezaKuna fundi aliunganisha soketi nyumbani ile sehemu ya earth wire akaweka akaweka waya wa live,afu waya wa earth akaweka sehemu ya live wire......basi kila tukitaka kuitumia soketi hyo circuit breaker inajizima
Natamani nimbebee sururu dadeki kanitia hasara sana
Amepunguza utelezi!naona amesoma physics mambo ya friction, sio mbaya
Kutokana na maelezo hayo, huyo fundi yupo sahihi kabisa tena muongezee mshiko, maana amejitahidi sana.Mkuu huyu fundi nimemtoa kijijini nikampeleka site akawa anakaa huko huko materials nikamwachia na hela ya kutumia siku naenda kukugua ndo nakuta hali hiyo!!
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Kutokana na maelezo hayo, huyo fundi yupo sahihi kabisa tena muongezee mshiko, maana amejitahidi sana.
Siyo kila aitwaye fundi from any where ni mtaalam wa ktk vifaa vya ujenzi. Huyo kazoea tope alafu unamleta hapo mh..!!