Hivi huyu fundi nimfanye nini!!

Hivi huyu fundi nimfanye nini!!

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,491
Reaction score
29,268
1476633255643.jpg
 
Keyboard sio ya kupandisha picha tu pia inatumika kuandikia. Sasa kwa nini usiandike maneno machache kuelezea Hiyo picha? Ukiandika pia tueleze ulilipa mpunga kiasi gani kwani inawezekana kazi uliyotuonyesha inaendana na hela uliyolipa.
Mkuu huyu fundi nimemtoa kijijini nikampeleka site akawa anakaa huko huko materials nikamwachia na hela ya kutumia siku naenda kukugua ndo nakuta hali hiyo!!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ,mafundi bhana,labda itakuwa ni mtindo mpya
 
Kuna fundi aliunganisha soketi nyumbani ile sehemu ya earth wire akaweka akaweka waya wa live,afu waya wa earth akaweka sehemu ya live wire......basi kila tukitaka kuitumia soketi hyo circuit breaker inajizima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom