Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Hongera kwa kusomeshwa.Kiheshima inabidi ukubali na ujaribu kadiri ya uwezo wako. Hiyo kazi uliyokuwa nayo sekita binafsi unaweza kuomba likizo bila malipo endapo mambo yasipokuwa mambo urejee na utapokelewa! Wewe ni mtanzania umesomeshwa kwa subsidised gharama za shule mpaka ukafika hapo ulipo! Serikali imekuona unaweza kutusaidia alafu unasema staki?? Hujitambui labda!
Tambua kuwa waliosomeshwa ni wachache sana ukilinganisha na waliojisomesha.