Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,884
- 51,706
Unagomeaje mlango uliofunguka, kiroho ni hatari sana usitazame mambo kwa jicho bali kwa kiroho na imaniMtu pekeee aliyegomeaa uteuzi wa Samia Ni ndugu wetu Diwani Athumani na Katibu Mkuu wa CWT wengine wote wamekubali na kuacha shughuli zao za maaana na kwenda kufanya Kaz za kitapeli
Mfno ally happy ameacha Kaz zake za shambani na Sasa atakiwepo oficini kuelekeza watu propaganda za CCM na kusubiri posho na maelekezo kutoka juu