Hivi huwezi mtu kugomea uteuzi?

Hivi huwezi mtu kugomea uteuzi?

Kiheshima inabidi ukubali na ujaribu kadiri ya uwezo wako. Hiyo kazi uliyokuwa nayo sekita binafsi unaweza kuomba likizo bila malipo endapo mambo yasipokuwa mambo urejee na utapokelewa! Wewe ni mtanzania umesomeshwa kwa subsidised gharama za shule mpaka ukafika hapo ulipo! Serikali imekuona unaweza kutusaidia alafu unasema staki?? Hujitambui labda!
Yaaani unitoa world bank mpngo wa Africa Kisha uniteue kuwa mkuu wa wilaya ya kasulu Walai siendi
 
Kiheshima inabidi ukubali na ujaribu kadiri ya uwezo wako. Hiyo kazi uliyokuwa nayo sekita binafsi unaweza kuomba likizo bila malipo endapo mambo yasipokuwa mambo urejee na utapokelewa! Wewe ni mtanzania umesomeshwa kwa subsidised gharama za shule mpaka ukafika hapo ulipo! Serikali imekuona unaweza kutusaidia alafu unasema staki?? Hujitambui labda!
Sio kila Mtanzania kasoma kwny shule za ruzuku
nafasi nyingi zinapaswa kuwa za kuomba badala ya za kuteuliwa kuepuka kuwapa watu wasiokuwa na interest

mf.kuna Mabalozi kadhaa kipindi cha nyuma nawafahamu waliteuliwa ili kuwaondoa eneo fulani au kuwakomoa na matokeo yake kule wakaenda kuwa kama wapo kwny gereza badala ya kufanya kazi kwa ari

Mf. Abdulrahman Kinana alishakataa Ubunge wa kuteuliwa na baadae pia akakataa Uwaziri na hata miaka ya karibuni alikataa kuendelea na Ukatibu Mkuu baada ya kuona haendani na kasi husika
 
Kiheshima inabidi ukubali na ujaribu kadiri ya uwezo wako. Hiyo kazi uliyokuwa nayo sekita binafsi unaweza kuomba likizo bila malipo endapo mambo yasipokuwa mambo urejee na utapokelewa! Wewe ni mtanzania umesomeshwa kwa subsidised gharama za shule mpaka ukafika hapo ulipo! Serikali imekuona unaweza kutusaidia alafu unasema staki?? Hujitambui labda!
Mkuu inasemwa maslai aliokua anapata TIGO TANZANIA yalikua makubwa KULIKO UDC

pia Kuna walio ona mbali kwenye zile teua tengua waka amua kujiweka mbali au kando na siasa
 
Uteuzi wa rais ni wito wa kujitolea ktk maana yake iliyokusudiwa,yaani uongozi "kujitoa kwa ajili ya wengine"unapoitwa kujitolea halafu ukakataa ili ufanye shughuli zako nyingine tafsiri yake ni kama umeona hana maana na wala hastahili kujitoa kikamilifu kwa wananchi.

Unachotakiwa ni kukubali kwanza,kisha uombe kujiuzuru,tena kwa kutoa sababu za msingi kama kujiuguza au kilema cha kushindwa kutumikia nafasi,vinginevyo yatakukuta mengi.
Ni sahihi kwenye THIRD WORLD COUNTRIES yatakukuta mengi....

NB;
In first world countries huwa hakuna izo mambo za kuswagana Kama mifugo
 
Mpaka mtu anapata teuzi aidha ni chawa au ni mwadilifu kwa Boss, huwez okota mtu msiefanana mitazamo labda abadilikie mbele hata hivyo hipewa taarifa kabla ya teuzi yenyewe.
 
Uteuzi wa rais ni wito wa kujitolea ktk maana yake iliyokusudiwa,yaani uongozi "kujitoa kwa ajili ya wengine"unapoitwa kujitolea halafu ukakataa ili ufanye shughuli zako nyingine tafsiri yake ni kama umeona hana maana na wala hastahili kujitoa kikamilifu kwa wananchi.

Unachotakiwa ni kukubali kwanza,kisha uombe kujiuzuru,tena kwa kutoa sababu za msingi kama kujiuguza au kilema cha kushindwa kutumikia nafasi,vinginevyo yatakukuta mengi.
Umeandika habari za vichekesho
 
Mtu pekeee aliyegomeaa uteuzi wa Samia Ni ndugu wetu Diwani Athumani na Katibu Mkuu wa CWT wengine wote wamekubali na kuacha shughuli zao za maaana na kwenda kufanya Kaz za kitapeli

Mfno ally happy ameacha Kaz zake za shambani na Sasa atakiwepo oficini kuelekeza watu propaganda za CCM na kusubiri posho na maelekezo kutoka juu
Nakumbuka kuna jamaa nadhani alikuwa ni employeee wa tIGO aliteuliwa henzi za Magu, jamaa akagomea uteuzi wa UDC aisee jamaa hakuacha kuona rangi hapa duniani, maisha kwake yalikuwa machungu na baadae naona aka surrender na kuunga juhudi.

Kwa kifupi kugomea uteuzi nasikia wana term kama insubordination. Usiombe ubambikiziwe hiyo kitu, utajuta!!
 
Kuna jamaa mmoja somebody ALI MASWANYA
Huyu jamaa aligomea uteuzi wa JPM ukuu wa wilaya..

Alipo ulizwa kwa Nini hakuonekana kwenye kuapishwa akajib simple kua kwa Sasa yeye Ni mwajiliwa wa TIGO TANZANIA
Inasemwa alifanyiwa figisu mpaka akaondolewa kazini

NB;
KWENYE KATIBA ZA THIRD WORLD COUNTRIES RAISI HAGOMEWI WALA HAKATALIWI JAMBO
Inasikitisha sana
 
Kiheshima inabidi ukubali na ujaribu kadiri ya uwezo wako. Hiyo kazi uliyokuwa nayo sekita binafsi unaweza kuomba likizo bila malipo endapo mambo yasipokuwa mambo urejee na utapokelewa! Wewe ni mtanzania umesomeshwa kwa subsidised gharama za shule mpaka ukafika hapo ulipo! Serikali imekuona unaweza kutusaidia alafu unasema staki?? Hujitambui labda!
Professorial Rubbish
 
Uteuzi wa Rais sio wito wa kujitolea, acha upotoshaji. Hizo kazi watu wanazitafuta kwa vimemo, kujipendekeza, connections na hata kujiegueza machawa.
Uteuzi wa rais ni wito wa kujitolea ktk maana yake iliyokusudiwa,yaani uongozi "kujitoa kwa ajili ya wengine"unapoitwa kujitolea halafu ukakataa ili ufanye shughuli zako nyingine tafsiri yake ni kama umeona hana maana na wala hastahili kujitoa kikamilifu kwa wananchi.

Unachotakiwa ni kukubali kwanza,kisha uombe kujiuzuru,tena kwa kutoa sababu za msingi kama kujiuguza au kilema cha kushindwa kutumikia nafasi,vinginevyo yatakukuta mengi.
 
Mtu pekeee aliyegomeaa uteuzi wa Samia Ni ndugu wetu Diwani Athumani na Katibu Mkuu wa CWT wengine wote wamekubali na kuacha shughuli zao za maaana na kwenda kufanya Kaz za kitapeli

Mfno ally happy ameacha Kaz zake za shambani na Sasa atakiwepo oficini kuelekeza watu propaganda za CCM na kusubiri posho na maelekezo kutoka juu
Aliekataa uteuzi ni katibu wa Chama cha Walimu, yule Maganga

Sijajua ni kwanini ila natumai hakuna rangi aliyoacha kuona😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom