kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,054
Toka mwezi uliopita na hadi huu nimekua napata tatizo la mtandao wa voda upande wa inteneti kukata kabisa au kuwa na low speed siku nzima. 4g ya voda inazidiwa na 3g ya halotel.
Je hili tatizo ni kwangu binafsi? Ama na wengine mnalipata? Nauliza hivo sababu nilishwai piga simu huduma kwa wateja na yule alonihudumia akaishia kusema ‘Hata hivyo una matumizi makubwa saana ya intaneti ila tutafuatilia tatizo lako’ sasa najiuliza mtandao supa kweli umefikia hapa?
Je hili tatizo ni kwangu binafsi? Ama na wengine mnalipata? Nauliza hivo sababu nilishwai piga simu huduma kwa wateja na yule alonihudumia akaishia kusema ‘Hata hivyo una matumizi makubwa saana ya intaneti ila tutafuatilia tatizo lako’ sasa najiuliza mtandao supa kweli umefikia hapa?