FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
- Thread starter
- #21
Inawezekana mama wa kwanza!Binafsi sidhani kama ni rahisi hivyo kuchanganya majina katika maongezi...tena sio na rafiki mpya useme umesahau jina lake kwahiyo unabahatisha ila mchumba wako kabisa?Ni ngumu kidogo kuamini!
Unakosea mara ya kwanza unaambia bado katika ya maongezi unakosea tena unakanya ukitaka kusema Basi Samahani Lizzy unasema samahani Rose how is it kam kam ?