Hivi hili penzi linachakachuliwa ? advice pls

Dah Rose we mtata kweli kweli. Umefikaje huko?
Au una kapiriensi na hii maneno?!

ndo manake...mbona nikiwa na wewe huwa navuta hisia za murra ili twende sawa?
hausikiagi nakuambia we murrrah nikege vzur wakat we unaitwa mwta maranya?
 
ndo manake...mbona nikiwa na wewe huwa navuta hisia za murra ili twende sawa?
hausikiagi nakuambia we murrrah nikege vzur wakat we unaitwa mwta maranya?

Duh, hata macho yako tu hapo kwenye avator yako yanadhihirisha ulivyo mkali. Kwangu mimi sina haja ya kushangaa. Anyway, nimeingilia mlango wa nyuma, ila msijali...
 
Huyu Dada amekuwa ni mwingi wa mawazo akijiuliza maswali yasokuwa na majibu ..na kujikuta anakosa amani
Ni takribani miezi miwili sasa ,mpenzi ,mchumba ,husband to be wake amekuwa kila mara akimpigia simu katikati ya maongezi yao kila anapotaka kuita jina la huyo dada F,amekuwa akiita jina la dada mwingine kabisa ,Huyu binti kila anapohoji maswali anapewa lugha nzuri ....
Ooh sorry baby girl ni jina tu limejia ,nashangaa hata mie kwa nini inakuwa hivi lakini akimaliza kuomba msamaha wakianza kuongea tena mara hilo jina ndo linashika hatamu tena!
Kila akimuhoji mwenzi wake majibu anayopata anazidi kuchanganyikiwa..ila wako katika mchakato wa kuandaa wedding!
Ila wanakaa mikoa tofauti ingawa mara kwa mara wanaonana!
Anaomba msaada wenu kimawazo wadau afanye nini,,
Cause anaamini penye wengi hapaalibiki neno
Nawakilisha!

FL1 huu mkasa ni wako mwenyewe au???????? Sema ukweli, mbona nasikia ni wewe??????? Kama ndivyo, basi, naweza kukupa ushauri unaokufaa zaidi ya hapa!!!
 
Anaweza akawa mtaalam kuliko hata huyo mwizi la mapenzi ya mbal yakamfanya jamaa awe karibu sana na huyo dem mwingine kiasi kwamba kila mara anakuwa nae anaenda kula nae sometime wanalala wote kwa hiyo anajkuta amezoea kumwita sana huyo msichana mwingine jina lake na ndio maana anajkuta anamwita hata yeye

ushauri wangu ajarbu na yy kumwita jina lingine kama walivyosema hapo juu then akja juu ndo aanze kumwelewesha amwambe unavyojsikia yeye ndivyo hivyo navyojisikia unaponiita fulani, sasa amwambie azidishe huo uchungu mara mia moja sababu yy kamwita mara moja wakati yy alitwa mara kibao. pa ajaribu na kumstukiza maraa kwa mara yaan aende bra taarfa kumtembelea. Na pia achunguze isijekuwa huyo anaemwita n dada ake tu.
Huyu dada siyo mpenzi halali wa kijana huyu. Ameingilia penzi la mtu hapo. La pili hapa ni kwamba huyo dada hajui mambo, anapigwa bao na huyo anayetajwa!! Hawezi kumteka ili jamaa amsahau Pdemu wake halali. Ameingilia penzi la mwenzie, na mbaya zaidi kazi haiwezi vizuri na siku akimfahamu basi patachimbika. Anayetajwa wakati wa mapozi ya kujivinjari mambo ya kitangatanga ... kama Rose1980 alivyofafanua hapo juu, basi huyo ndiye mlengwa. Na hiyo ndoa ikitangazwa ujue kutakuwa na pingamizi hapo. Ushauri, mwambie huyo rafiki yako amwache mara moja kijana huyo.
 
FL1 huu mkasa ni wako mwenyewe au???????? Sema ukweli, mbona nasikia ni wewe??????? Kama ndivyo, basi, naweza kukupa ushauri unaokufaa zaidi ya hapa!!!

PMNBko unasikia ni mie nani huyo alokwambia ni mie Geeeeeeeeeeeez
Nimeolewa mie sina mchumba bana !hivi unadhani mme wangu aniite mie Rose1980 ni lazima aandae majibu ya kunikabili .
Ila ni ndugu na jamaa wa karibu wewe toa tu ushauri nasaha ukifananisha kama ni FL kwani ndie mtoa mada
angalia signature yangu:hungry:
 
Anaweza akawa mtaalam kuliko hata huyo mwizi la mapenzi ya mbal yakamfanya jamaa awe karibu sana na huyo dem mwingine kiasi kwamba kila mara anakuwa nae anaenda kula nae sometime wanalala wote kwa hiyo anajkuta amezoea kumwita sana huyo msichana mwingine jina lake na ndio maana anajkuta anamwita hata yeye

ushauri wangu ajarbu na yy kumwita jina lingine kama walivyosema hapo juu then akja juu ndo aanze kumwelewesha amwambe unavyojsikia yeye ndivyo hivyo navyojisikia unaponiita fulani, sasa amwambie azidishe huo uchungu mara mia moja sababu yy kamwita mara moja wakati yy alitwa mara kibao. pa ajaribu na kumstukiza maraa kwa mara yaan aende bra taarfa kumtembelea. Na pia achunguze isijekuwa huyo anaemwita n dada ake tu.


Asante Dinner kwa ushauri mzuri noted with thanks
 
ndo manake...mbona nikiwa na wewe huwa navuta hisia za murra ili twende sawa?
hausikiagi nakuambia we murrrah nikege vzur wakat we unaitwa mwta maranya?

Thubutuuuu, ukikosea tu ukataja jina tofauti na langu panachimbika kweli.
Nitakugecha mpaka uniambie huyo murra ni nani, na ulifahamiana nae vipi, wapi na inakuwaje wakati uko na mimi umtaje.
Ila hilo konyezo lako linawamaliza wengi!!:sick:
 
PMNBko unasikia ni mie nani huyo alokwambia ni mie Geeeeeeeeeeeez
Nimeolewa mie sina mchumba bana !hivi unadhani mme wangu aniite mie Rose1980 ni lazima aandae majibu ya kunikabili .
Ila ni ndugu na jamaa wa karibu wewe toa tu ushauri nasaha ukifananisha kama ni FL kwani ndie mtoa mada
angalia signature yangu:hungry:

Jokes.
 
Thubutuuuu, ukikosea tu ukataja jina tofauti na langu panachimbika kweli.
Nitakugecha mpaka uniambie huyo murra ni nani, na ulifahamiana nae vipi, wapi na inakuwaje wakati uko na mimi umtaje.
Ila hilo konyezo lako linawamaliza wengi!!:sick:

na wewe nakumaliza?
 
Duh, hata macho yako tu hapo kwenye avator yako yanadhihirisha ulivyo mkali. Kwangu mimi sina haja ya kushangaa. Anyway, nimeingilia mlango wa nyuma, ila msijali...

hahhah hahahh!
kesho uingilie mlango wa mbele sawa?
 
duh hayo ni majaribu!inabidi azidi kumwomba Mungu awaongoze yeye na mchumbake ili hilo tatizo life kabisa,ikishindikana basi ajue huyo sio ubavu maana ukiforce mambo badae ndoa inakuwa chungu!ni bora kupata mume mwema kuliko ndoa tu!
 
duh hayo ni majaribu!inabidi azidi kumwomba Mungu awaongoze yeye na mchumbake ili hilo tatizo life kabisa,ikishindikana basi ajue huyo sio ubavu maana ukiforce mambo badae ndoa inakuwa chungu!ni bora kupata mume mwema kuliko ndoa tu!

user-online.png
Lynn Lutag
Join Date : Tue Feb 2011
Posts : 1


karibu mgeni
 
Ushauri kwa huyo hubby to be.......
Awaite wanawake wote kwa jina moja tu......honey! au sweetheart! au darling!.....
 
Mtu hunena kiujazcho moyo wake! Hivyo hilo jina limetoka moyoni na ni la mpenzi aliyejaa moyoni mwake! Pole zake huyo mdada! Au na yeye ajifanye amekosea aite jina jingi "Hamis" " Jose" etc aone reaction ya jamaa yake itakuaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom