FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Huyu Dada amekuwa ni mwingi wa mawazo akijiuliza maswali yasokuwa na majibu ..na kujikuta anakosa amani
Ni takribani miezi miwili sasa ,mpenzi ,mchumba ,husband to be wake amekuwa kila mara akimpigia simu katikati ya maongezi yao kila anapotaka kuita jina la huyo dada F,amekuwa akiita jina la dada mwingine kabisa ,Huyu binti kila anapohoji maswali anapewa lugha nzuri ....
Ooh sorry baby girl ni jina tu limejia ,nashangaa hata mie kwa nini inakuwa hivi lakini akimaliza kuomba msamaha wakianza kuongea tena mara hilo jina ndo linashika hatamu tena!
Kila akimuhoji mwenzi wake majibu anayopata anazidi kuchanganyikiwa..ila wako katika mchakato wa kuandaa wedding!
Ila wanakaa mikoa tofauti ingawa mara kwa mara wanaonana!
Anaomba msaada wenu kimawazo wadau afanye nini,,
Cause anaamini penye wengi hapaalibiki neno
Nawakilisha!
Ni takribani miezi miwili sasa ,mpenzi ,mchumba ,husband to be wake amekuwa kila mara akimpigia simu katikati ya maongezi yao kila anapotaka kuita jina la huyo dada F,amekuwa akiita jina la dada mwingine kabisa ,Huyu binti kila anapohoji maswali anapewa lugha nzuri ....
Ooh sorry baby girl ni jina tu limejia ,nashangaa hata mie kwa nini inakuwa hivi lakini akimaliza kuomba msamaha wakianza kuongea tena mara hilo jina ndo linashika hatamu tena!
Kila akimuhoji mwenzi wake majibu anayopata anazidi kuchanganyikiwa..ila wako katika mchakato wa kuandaa wedding!
Ila wanakaa mikoa tofauti ingawa mara kwa mara wanaonana!
Anaomba msaada wenu kimawazo wadau afanye nini,,
Cause anaamini penye wengi hapaalibiki neno
Nawakilisha!