Hivi hili penzi linachakachuliwa ? advice pls

FirstLady1

JF-Expert Member
Jul 29, 2009
16,792
5,374
Huyu Dada amekuwa ni mwingi wa mawazo akijiuliza maswali yasokuwa na majibu ..na kujikuta anakosa amani
Ni takribani miezi miwili sasa ,mpenzi ,mchumba ,husband to be wake amekuwa kila mara akimpigia simu katikati ya maongezi yao kila anapotaka kuita jina la huyo dada F,amekuwa akiita jina la dada mwingine kabisa ,Huyu binti kila anapohoji maswali anapewa lugha nzuri ....
Ooh sorry baby girl ni jina tu limejia ,nashangaa hata mie kwa nini inakuwa hivi lakini akimaliza kuomba msamaha wakianza kuongea tena mara hilo jina ndo linashika hatamu tena!
Kila akimuhoji mwenzi wake majibu anayopata anazidi kuchanganyikiwa..ila wako katika mchakato wa kuandaa wedding!
Ila wanakaa mikoa tofauti ingawa mara kwa mara wanaonana!
Anaomba msaada wenu kimawazo wadau afanye nini,,
Cause anaamini penye wengi hapaalibiki neno
Nawakilisha!
 
Kashachakachuliwa huyo lohhh mpaka unataja jina la mwingine amekwisha. Nitarudi
 
Atafute likizo aende akae kwa huyo husband to be for at least two weeks atajua kama kuna uchakachuaji ama vipi
 
Mbona ukweli uko wazi huyo sijui mme ,mchumba,au sijui nani si mwaminifu anachakachua tu bila hata aibu
Inatisha hakuna ndoa hapo:coffee:
 
Atafute likizo aende akae kwa huyo husband to be for at least two weeks atajua kama kuna uchakachuaji ama vipi

Ila kuna watu wana siri unaweza maliza hata mwaka lakini yote hayo usiyaone ,
Asante kwa ushauri mzuri
Huchoki kucheza wewe?
 
Labda hubby to be anachakachua au amechakachuliwa!Inawezekana kabisa kuna mdada mwingine anaetaka huo uchamba ufe kwahiyo kafanya mambo yake...Au kaka anachakachua mpaka anawachanganya!Ajaribu kumchunguza taratibu!
 
mkaka anaye alyeijaza moyo na akili yake
so apo ajiandae ata kat kat ya game anaweza akakosea jna....wewe asha sogea uku bwana ahh kumbe shost anaitwa magdalena...teh teh!!!
...ata wakipafom dzain jamaa atakuwa anaVUTA HISIA ZA ASHA ILI APATE STIMU ...akuna kitu bla sababu...angekuwa anakosewa majina tofaut ningeelewa bt daily uyo uyo ahhh pole yake
 
Huyu Dada amekuwa ni mwingi wa mawazo akijiuliza maswali yasokuwa na majibu ..na kujikuta anakosa amani
Ni takribani miezi miwili sasa ,mpenzi ,mchumba ,husband to be wake amekuwa kila mara akimpigia simu katikati ya maongezi yao kila anapotaka kuita jina la huyo dada F,amekuwa akiita jina la dada mwingine kabisa ,Huyu binti kila anapohoji maswali anapewa lugha nzuri ....
Ooh sorry baby girl ni jina tu limejia ,nashangaa hata mie kwa nini inakuwa hivi lakini akimaliza kuomba msamaha wakianza kuongea tena mara hilo jina ndo linashika hatamu tena!
Kila akimuhoji mwenzi wake majibu anayopata anazidi kuchanganyikiwa..ila wako katika mchakato wa kuandaa wedding!
Ila wanakaa mikoa tofauti ingawa mara kwa mara wanaonana!
Anaomba msaada wenu kimawazo wadau afanye nini,,
Cause anaamini penye wengi hapaalibiki neno
Nawakilisha!

...ni vizuri kipindi hiki cha 'probation' naye ajaribu kukosea jina, atasoma reaction ya fiancee wake.
 
Labda hubby to be anachakachua au amechakachuliwa!Inawezekana kabisa kuna mdada mwingine anaetaka huo uchamba ufe kwahiyo kafanya mambo yake...Au kaka anachakachua mpaka anawachanganya!Ajaribu kumchunguza taratibu!

Lizzy kwa hiyo huyo dada mwingine ndo kaamua kuingia kwenye maisha ya huyu Mkaka ?ili avunje haya mahusiano
 
mkaka anaye alyeijaza moyo na akili yake
so apo ajiandae ata kat kat ya game anaweza akakosea jna....wewe asha sogea uku bwana ahh kumbe shost anaitwa magdalena...teh teh!!!
...ata wakipafom dzain jamaa atakuwa anaVUTA HISIA ZA ASHA ILI APATE STIMU ...akuna kitu bla sababu...angekuwa anakosewa majina tofaut ningeelewa bt daily uyo uyo ahhh pole yake

hahahaha Rose1980 kila nikisoma koment zako naanza kucheka kwanza ,
kwa hiyo hapa moja kwa moja kuna uchakachuzi ?
 
Huyu Dada amekuwa ni mwingi wa mawazo akijiuliza maswali yasokuwa na majibu ..na kujikuta anakosa amani
Ni takribani miezi miwili sasa ,mpenzi ,mchumba ,husband to be wake amekuwa kila mara akimpigia simu katikati ya maongezi yao kila anapotaka kuita jina la huyo dada F,amekuwa akiita jina la dada mwingine kabisa ,Huyu binti kila anapohoji maswali anapewa lugha nzuri ....
Ooh sorry baby girl ni jina tu limejia ,nashangaa hata mie kwa nini inakuwa hivi lakini akimaliza kuomba msamaha wakianza kuongea tena mara hilo jina ndo linashika hatamu tena!
Kila akimuhoji mwenzi wake majibu anayopata anazidi kuchanganyikiwa..ila wako katika mchakato wa kuandaa wedding!
Ila wanakaa mikoa tofauti ingawa mara kwa mara wanaonana!
Anaomba msaada wenu kimawazo wadau afanye nini,,
Cause anaamini penye wengi hapaalibiki neno
Nawakilisha!


"A great marriage is not when the 'perfect couple' come together. It is when an imperfect couple learns to enjoy their differences."
A%20S-rose.gif
:angel:
A%20S-rose.gif


Kuna ujumbe fulani hapa, kwenye signature yako!
hebu uangalie vizuri FL1!!!!!
 
hahahaha Rose1980 kila nikisoma koment zako naanza kucheka kwanza ,
kwa hiyo hapa moja kwa moja kuna uchakachuzi ?

ndo manake
we ebu jaribu kutumia akili za darasa la kwanza tu...iweje mtu ATAMKE JINA LA JOHN KILA DK wakat anaongea na ben?
ni labda uyo ni mdg wake au rafik yake au mpz wake ...UYO JAMAA JINA ANALOLITAJA NDO LA DEMU WAKE...aende akaish kwake b4 awajaendelea vkao vya harusi

au dada ana hamu sana na ndoa?
INGEKUWA MIMI PANGECHIMBIKA KWA KWELI...
 
Lizzy kwa hiyo huyo dada mwingine ndo kaamua kuingia kwenye maisha ya huyu Mkaka ?ili avunje haya mahusiano
Inawezekana mama wa kwanza!Binafsi sidhani kama ni rahisi hivyo kuchanganya majina katika maongezi...tena sio na rafiki mpya useme umesahau jina lake kwahiyo unabahatisha ila mchumba wako kabisa?Ni ngumu kidogo kuamini!
 
“A great marriage is not when the 'perfect couple' come together. It is when an imperfect couple learns to enjoy their differences.”
A%20S-rose.gif
:angel:
A%20S-rose.gif


Kuna ujumbe fulani hapa, kwenye signature yako!
hebu uangalie vizuri FL1!!!!!


ni kweli kuna ka ujumbe lakini mwanzo tu hata mtu hajawekwa ndani hii mambo inaanza je uko ndani kutakalika Bacha?
 
Lizzy kwa hiyo huyo dada mwingine ndo kaamua kuingia kwenye maisha ya huyu Mkaka ?ili avunje haya mahusiano

MMH jaman wewe dada amejiingizaje apo?
ni uyo kaka amemwingza uyo mwngne wakat yupo na bshost ndan...
 
mkaka anaye alyeijaza moyo na akili yake
so apo ajiandae ata kat kat ya game anaweza akakosea jna....wewe asha sogea uku bwana ahh kumbe shost anaitwa magdalena...teh teh!!!
...ata wakipafom dzain jamaa atakuwa anaVUTA HISIA ZA ASHA ILI APATE STIMU ...akuna kitu bla sababu...angekuwa anakosewa majina tofaut ningeelewa bt daily uyo uyo ahhh pole yake

duh! rose we bakari nini?
 
...ni vizuri kipindi hiki cha 'probation' naye ajaribu kukosea jina, atasoma reaction ya fiancee wake.

hapa panaweza kujimbika na ndoa ikavunjwa ...Noted Mbu ushauri wote utamfikia mhusika
 
ndo manake
we ebu jaribu kutumia akili za darasa la kwanza tu...iweje mtu ATAMKE JINA LA JOHN KILA DK wakat anaongea na ben?
ni labda uyo ni mdg wake au rafik yake au mpz wake ...UYO JAMAA JINA ANALOLITAJA NDO LA DEMU WAKE...aende akaish kwake b4 awajaendelea vkao vya harusi

au dada ana hamu sana na ndoa?
INGEKUWA MIMI PANGECHIMBIKA KWA KWELI...

hahahah Rose1980 Kiboko haya ni majaribu ya maisha ,
Nitampa ushauri huu huyo dogo aufanyie kazi
Ila ni ngumu katika hali ya kawaida kusadikika
 
Pole yake huyo dada, lakini jamani hakuna kitu kibaya kama kukosa uaminifu,
na kwa bahati mbaya mtu kama sio mwaminifu ni sio mwaminifu tu.
Labda mpaka atakapokutana na neema ya Mungu imuokoe.

Mi namshauri huyo dada asiingalie sana ndoa amuangalie zaidi huyo kaka, apime moyo wake
kama kweli unaweza kubeba hilo basi aamue kufunga ndoa, kama moyo wake hauwezi bora aachane nae tu,

Afadhali maumivu atakayoyapata sasa yatapona kuliko kidonda ambacho atakipata akiwa kwenye ndoa, hakiishi na hakiponi milele.
Afadhali kuacha mchumba, kuliko aje kuitwa mwanamke aliyeachika!!

Mungu amsaidie katika yote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom