Hivi hawa wanapata wapi namba zetu?

Hivi hawa wanapata wapi namba zetu?

SASA NDUGU ILE NAFASI ULIYONIOMBA YA KIJANA WETU KUJIUNGA NA JESHI IMEPATIKANA TUWASILIANE LEO MAPEMA KAMA BADO UNAHITAJI


Hawa ndo wengi... matapeli kabisa
Yan hvyo hvyo
 
IMG_20170903_142728_006.jpg
mimi sinaga utani nao
 
Nilijua ni mie tu ndo najiulizaga hayo maswali!!!! Hao ni matapeli tu wanakaa wanabuni namba zao wanatuma hizo msg.....
 
Njaa kali, nishatumwa kama mara mbili hivi
 
Majina matatu si angeangalia kwenye mpesa au airtel money tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom