kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,131
- 6,125
View attachment 580801 kuna mwingine nae tena alinitumia mfano wa huo hapo ,,nikamtukana alinitukana hiyo akaniambia nimtumie majina yangu matatu kama hakuna uchawi maana nilimuambia kuwa hakuna uchawi ,,nikamuambia kama we mchawi sijui mganga si uroge tu mpaka majina yangu we si mchawi bana roga tu,akaniambia nitakuja nikubake SAA sita mchana nikamuambia poa karibu aisee,,mpaka Leo sijaona mtu wala non nikamkubusha mbona hajaja hahaa hajanijibu mpaka Leo,,msiamin haya mambo aise