Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,943
- 15,678
Sijawahi kupata msg zao bata hao
Yeah huenda wanatumika kufanikisha hiloBasi watakuwa wafanyakazi wa voda.
Mi siamini,,,ni mambo ya kusadidika tu,zamani niliamin siku hizi hapanaa na shida zipo tu,mfano manji ana pesa lakin kapata shida utasema karogwaPengine na umri pia unachangia.
Ngoja siku upate misukosuko ya maisha halafu uone kama utawatafuta au laah.
Ila hao wanaotuma hizo texts ni matapeli ,lakini waganga wa kweli wapo na uchawi upo na hata kwenye vitabu vya dini vimethibitisha hilo.
Na hata wachungaji asilimia kubwa nao ni wachawi.
Kwahyo wewe ukipatwa na matatizo solution yako ni kwa waganga na wachawi.?Pengine na umri pia unachangia.
Ngoja siku upate misukosuko ya maisha halafu uone kama utawatafuta au laah.
Ila hao wanaotuma hizo texts ni matapeli ,lakini waganga wa kweli wapo na uchawi upo na hata kwenye vitabu vya dini vimethibitisha hilo.
Na hata wachungaji asilimia kubwa nao ni wachawi.
Asante mkuu..pamojaPole na kazi mkuu naona umerudi![]()
![]()
SASA NDUGU ILE NAFASI ULIYONIOMBA YA KIJANA WETU KUJIUNGA NA JESHI IMEPATIKANA TUWASILIANE LEO MAPEMA KAMA BADO UNAHITAJIKuna wale wengine wanakutumia ile nafas ya jeshi uliyoomba imepatikana
Wanakera kweli
Pole ila huyu naye anajitahidi kuigiza your commenting. Anakuwa wa kwanza halafu anajibu short kama wewe. Mimi ndo maana sina avatar hivyo siyo rahisi kuniibia.Yeah wameiba sio undumilakuwili na nilishatolea ufafanuzi kwenye ile thread yangu... Mimi siajambo aisee
Mkuuu kitambo upo broo???Kweli aisee, halafu wengi wao matapeli
Kama hiiKuna wale wengine wanakutumia ile nafas ya jeshi uliyoomba imepatikana
Wanakera kweli
hiyohyo sijui wanai foadi hiyo moja