Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,003
- 72,293
- Thread starter
- #81
WanajifanyishaHivi Ndagu ni nini...???
View attachment 580898
View attachment 580899
Halafu wengi ni wasukuma, wanasemaga hivo hata lafudhi yao inasomeka kingosha
WanajifanyishaHivi Ndagu ni nini...???
View attachment 580898
View attachment 580899
Halafu wengi ni wasukuma, wanasemaga hivo hata lafudhi yao inasomeka kingosha
Kuna jamaa job hapa alipigwa laki 3 na hao wajeda haaaa
alikuwa fala aisee...Duuh! Nikajuaga ni ww umekuja kivingine tu na umechange username tu.. 🙂sawa mkuu..ila ile kuna watu wameikwapua ndio maana nimeweka hii nijitofautishe nao kwa maana wanavyofanya watu wanazani na zile ni ID zangu kumbe sio
Hapana mkuu, sihusiki nao kabisaDuuh! Nikajuaga ni ww umekuja kivingine tu na umechange username tu.. 🙂
At your position jombaaaKweli aisee, halafu wengi wao matapeli
Hahshahaha mimi walniambia eti wanipe dawa ya kuongeza biashara niliyonayo nikajibu sina hata biasharaMm jana nimepata msg ya mganga kwny no ya voda ananiambia mambo ya pete ya bahati sijui kumtuliza mpenzi nikamwambia mimi hata mpenzi sina
One time one time si mbayaAt your position jombaaa
Sent from my TV
Na hapa ndio unapopataka haswaaaaa utamu wa bure unavyoupenda wewe😛😀😀😀,akaniambia nitakuja nikubake SAA sita mchana nikamuambia poa karibu aisee
Mm jana nimepata msg ya mganga kwny no ya voda ananiambia mambo ya pete ya bahati sijui kumtuliza mpenzi nikamwambia mimi hata mpenzi sina
Alafu unaambiwa ulete mkubwa ndo anafaa kwa dawaBado wanaelekea kwwnye mkaa na chumvi. Hivi hao kuku hawamkinai mtaalam, yeye kila siku anakula kuku tuu, wawe wanaagiza na samaki
Mazuzu hawaishiYaani anayetapeliwa na mtu mwenye muandiko huo sijui yeye anakuwa na akili za namna gani.
Sent using Jamii Forums mobile app